Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umesomea Chemistry lakini sio Pharmacy and that alone should tell you that you are an idiot. Chemistry doesn’t deal with the pharmacodynamics and pharmacokinetics.

Niko na pesa kukuliko despite being younger than you by almost 10yrs, don’t bring your malnutrition problems to me. Actually you are one of the failed sperms ever released by a man.
Pharmacy haiishii tu kwenye pharmacokinetics na pharmacodynamics.
Kabla hujafikia hizo mbili itabidi usome pharmacology kwanza.
Na kwenye pharmacology ndipo mzizi wa pharmacy ambao Chemistry ulipo.
Chemistry ni mzizi wa pharmacy.
Wacha ujuaji mwingi.
 
Poorer countries (LDC) have low cost of living.
18.mil kati ya population ya 55mil kweli nyinyi matajiri🤣🤣🤣🤣

Kenya faces recurring challenges including droughts, floods, and disease outbreaks, worsening the country’s humanitarian crisis. In late 2023, El Niño caused flooding and displacement, impacting nearly 500,000 people. An estimated 18.7 million people in Kenya – more than one-third of the population – are undernourished. Poor nutrition is compounded by factors such as inadequate healthcare access, gender disparities, conflicts, poor infrastructure, and limited access to clean water and sanitation services.
 
Nimefanya utafiti na nimegundua nyumba za dar na TANZANIA hazina plaster kwa nje na mabati ni chakavu👇
1000007637.jpg
 
Hivo ndio mnavyoaminishwa. Kiukweli ni kwamba umaskini Tanzania upo, tena kwa wingi sana. Mimi Tangu nizaliwe sijaona yeyote akipewa chakula cha msaada. Chakula cha msaada hupewa maeneo ambayo yalikumbwa na instability kwa muda mrefu huko Northern Kenya na kuna wakaazi wachache sana hayo maeneo ila kwa sasa hiyo region imeanza kupata stability ndio maana siku hizi ni nadra upate wakiletewa misaada. Soon mambo ya misaada yatakuwa history.

Na usitudanganye, hapo kwenu watu wanapewa msaada wa chakula. Usidhani sisi wajinga.View attachment 3325120
We kumbe ni zwazwa!?
Huo ni msaada wa swadaka tu kuhusu futari sio kuwa ni msaada wa balaa njaa kama ninyi Kenya mnaopewa msaada wa chakula kama nchi na WFP World food program.
JE Tanzania inapewa msaada wa chakula wa nchi kama Kenya na WFP!?
Tupe jibu.
 
Poorer countries (LDC) have low cost of living.
That’s why lots of Americans in San Diego buy mansions across in Tijuana, Mexico and drive across the border to work every morning and back to Mexico in the evening . They live like Kings and queens due to the value of the dollar. In the future when Kenya becomes a first world nation, some Kenyans will probably reside across Namanga and isebania ( Hopefully TZ will still be LDC)..😂😂😂
 
We kumbe ni zwazwa!?
Huo ni msaada wa swadaka tu kuhusu futari sio kuwa ni msaada wa balaa njaa kama ninyi Kenya mnaopewa msaada wa chakula kama nchi na WFP World food program.
JE Tanzania inapewa msaada wa chakula wa nchi kama Kenya na WFP!?
Tupe jibu.
Welcome back Kosugi. Punguza hasira. 🤝
 
That’s why lots of Americans in San Diego buy mansions across in Tijuana, Mexico and drive across the border to work every morning and back to Mexico in the evening . They live like Kings and queens due to the value of the dollar. In the future when Kenya becomes a first world nation, some Kenyans will probably reside across Namanga and isebania ( Hopefully TZ will still be LDC)..😂😂😂
Unaangalia sana movies za kivita. 🤣🤣🤣🤣🤣 ikiwa babaako America Hana future, anafinywa na mchina kila leo, wewe kibaraka maskini Ndio utakua na future. ?
 
Back
Top Bottom