Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Home sweet home. Kwetu hiyo. 🔥🔥🔥
Home sweet home. Kwetu hiyo. 🔥🔥🔥
Kwanza tumalize ujenzi wa barabara ya Tanga kiteto singida waone kama waganda watapitisha mzigo Mombasa🤣🤣🤣Home sweet home. Kwetu hiyo. 🔥🔥🔥
Ndiyo Magomeni kukae hivi!?Hapa Dar kila kona lami zimejaa. Hakuna kipya hapo.
HuelewekiNdiyo Magomeni kukae hivi!?
View attachment 3325383
Mkuu Hatuwezi kukwambia barabara zetu zote zina lami lakini tutakwambia barabara zenye lami ni nyingi within magomeni, magemeni ni eneo kuubwa si haka kamtaa tu ulikopost.Ndiyo Magomeni kukae hivi!?
View attachment 3325383
Peleka uzee wako mbali. Show me any Tanzanian team that can collect this amount without laying at Makwapa Stadium.
View: https://x.com/Shabanafckenya/status/1919088395151679705
Magomeni ni jirani Kariakoo na kuna kaa hivi, sasa kujisifu mnajisifu na nini!?Hueleweki
Chizi huyo,hata wenzake washandharau 😃Huyu mwehu of kibera ndo alisema anamiliki makapuni USA?😂😂😂😂😂
Unatupigia kelele sana. Haya magomeni hii hapa. 👇🏾.Magomeni ni jirani Kariakoo na kuna kaa hivi, sasa kujisifu mnajisifu na nini!?View attachment 3325387
Hiyo ni Bora kuliko hiziMkuu Hatuwezi kukwambia barabara zetu zote zina lami lakini tutakwambia barabara zenye lami ni nyingi within magomeni, magemeni ni eneo kuubwa si haka kamtaa tu ulikopost.
Unatupigia kelele sana. Haya magomeni hii hapa. 👇🏾.
View: https://youtu.be/YvyXrCAyVqk?si=8FntZYL9WDbX2AER.
Huwez post picha za barabara maana unajua kabisa huko chini pachafu sana,🤣🤣🤣🤣🤣Nairobi City
View attachment 3325406
Nairobi city
Dah mwenetu ushajipigia bottle 2 fasta. Ila wapumbavu walitukamia leo kwa maelekezo😁Kuna yule mjinga alikuwa anasema Bei ya bia Tz ni kama huko kwao failed state,
Hapa naangalia mechi ya JKT Vs Simba Mwailubi Pub Mbeya, retail price ya Castle lite ni 1,500 Tsh (75Ksh) with VAT included. Hatufanani.
View attachment 3325333
Huwez post picha za barabara maana unajua kabisa huko chini pachafu sana,🤣🤣🤣🤣🤣