Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nganya
26edbecb33065b75ecd65e715770d954.jpg
 
Niko fiti ila mnaniabisha huku. Bombardier Hii yetu magu ataikomboa lini? Kwani Hii nchi yetu itafikia kiwango cha majirani wetu lini? Hapa kazi tu imekua ni maneno bila akshen mbona? Tuko LDC majirani wanatubeza kila siku, inanikera mbaya.
Kwa hiyo ukaona ni bora uishi dondora kuliko kukaa tz
 
Kiukweli Kenya hakuna sector inayofanya vizuri kwa sasa, hiyo ni nchi ya ajabu sana, very poor in planning. Wakati shirika linaporomoka na linarudisha baadhi ya ndege walizokodi, wao ndiyo wanafungua njia ambayo is much more competitive kwenda USA, hawajali biashara yenye faida, muhimu kwao ni sifa za kijinga kama kawaida yao..stupidity is very bad disease.

Ujamaa brain is like diarrhea why lie... There is just faeces in between your ears
 
Magufuli ameshalipia ndege 6 kwa mpigo, cash money, karibia $800M wakati shirika halijaanza kazi, maana yake ni kwamba ATCL inaanzana ndege zake haina mzigo wa kulipa interest, inaanza na Dreamliner moja, KQ miaka yote hiyo haina Dreamliner hata moja iliyonunua kwa pesa yake..duuh..wazee wa misifa ya kijinga.

Hizo Tuktuks ndio mnaziita ndege..... Puliss!
 
Back
Top Bottom