Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
That's what they've been doing all along. Eti sisi hatuna slums, tuko na uswazi which are unplanned settlements 🤣Wanatumia neno uswazi kuficha neno slums.😂😂
That's what they've been doing all along. Eti sisi hatuna slums, tuko na uswazi which are unplanned settlements 🤣Wanatumia neno uswazi kuficha neno slums.😂😂
Sio Kwa mapovu haya jiwe gizaniInaitwa a business strategy, ujinga nikama ukoo ya Watanzania walai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
Hapa ndio mmekwama, hamna lolote tangible to show ni stupid reasoning tu kujaribu kujitetea, zero brains🤣🤣🤣🤣.,
View attachment 3315935
Usiwe pumbavu, kwani Kariakoo ni port? 🤣🤣 The fact is, Dar is a slum port ina meli moja pekee ambayo inatoka direct from China. Mombasa inazo zaidii ya kumi. Sasa hata sijui unabishana nini.Tumia akili zuzu wewe.... Kkoo inashusha meli moja kila mwezi, bado kuna meli nyingine China na maeneo mengine kushusha mzigo kkoo.
Sijaongelea sehemu nyingine hapo ni special kwa kkoo only. Hilo soko la Ubungo ndio lita ongeza volume kwenda meli 3 hadi 5. Hizo ni special kwa wafanyabiashara wa hapa ndani.
Sasa niambie kwa kunyaland mna wafanyabiashara ambao wameagiza hata container 5 kwa pamoja? Hizo direct ship from china to msa huwa zinashusha Nini hapo? Unajua maana ya dedicated direct ship?
Kibera Kuna barabara za lami.Unaweza fananisha na zombie of kibera?
Wewe primary school dropout are these brand new cars? Ama unadhani kujaza hizi fossils kwa bandari ndio efficiency. 🤣🤣Ondoa upumbavu hapa, takataka gani hii? Mkifika huku itakuaje? View attachment 3315770View attachment 3315771
Economic growth kila siku hawa mafala huwa wanaiweka Tanzania ahead lakini hawaoneshagi kipi kinachokua at the end of the day, ila nchi kama Kunyaland isioweza hata kulipa mishahara bila donations wanazipa numbers kubwa lakini kwa ground ni kubadi
View: https://x.com/IMFAfrica/status/1915746373980590239?t=x6lyoyDPeDBJuarVigT-rg&s=19
Usiwe pumbavu, kwani Kariakoo ni port? 🤣🤣 The fact is, Dar is a slum port ina meli moja pekee ambayo inatoka direct from China. Mombasa inazo zaidii ya kumi. Sasa hata sijui unabishana nini.
Lakini ndo biggest slums in the worldKibera Kuna barabara za lami.
According to you.Lakini ndo biggest slums in the world
Viatu pair tatu imekuvirisha kichwa. Bongoslum ni LDC and is not charged for tariffs by China. Sasa wakenya kadhaa wakigundua hio loophole inakua ni nchi nzima inakujia viatu Kariakoo. 😄Zuzu haujielewi...achana na namba hizo twende sokoni...
Kunyaland meli 10 direct from china ila kenge wenzio wanakuja kununua viatu na nguo KKoo ambako kuna meli moja tu ya direct from china.
Hizo meli za kunyaland zinasafirisha nini kutoka China?!!! Mbona watu wa kunyaland wanakuja kununua vitu KKoo?
Wakenya waagize container kwa pamoja?Tumia akili zuzu wewe.... Kkoo inashusha meli moja kila mwezi, bado kuna meli nyingine China na maeneo mengine kushusha mzigo kkoo.
Sijaongelea sehemu nyingine hapo ni special kwa kkoo only. Hilo soko la Ubungo ndio lita ongeza volume kwenda meli 3 hadi 5. Hizo ni special kwa wafanyabiashara wa hapa ndani.
Sasa niambie kwa kunyaland mna wafanyabiashara ambao wameagiza hata container 5 kwa pamoja? Hizo direct ship from china to msa huwa zinashusha Nini hapo? Unajua maana ya dedicated direct ship?
Viatu pair tatu imekuvirisha kichwa. Bongoslum ni LDC and is not charged for tariffs by China. Sasa wakenya kadhaa wakigundua hio loophole inakua ni nchi nzima inakujia viatu Kariakoo. 😄
Wakenya waagize container kwa pamoja?
Ile greedy na selfishness iliyopo Kenya ukiongeza na ukabila uliokomaa?
Yaani mkenya bora afanye biashara na mzungu ila sio mkenya mwenzake
Wakenya wangapi wanakujia viatu Kariakoo? Wanajaza hata trailer moja au ni watu wakubeba mzigo na basi.Mimi sijakataa yote hayo...
Ila mbona mko na meli 10 direct from china and yet mnakuja kununua viatu from Tanzania ambao wana meli moja tu direct from China!?
Na kasongo aliwabeba ufala kweli.. tariffs kwa LDC wanasamehewe kwenye exports kuingia China...sio kutoa mzigo toka China kwenda LDC... Mtadanganywa Hadi lini nyinyi ng'ombe!?