concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,357
Only ongoing project in Kenya ndo maana viongoz wenu wanakuja kujifunza efficiency tanzania
Mi naona kama tunabishananga na watu wanataka usaidizi coz warathese?🤣 🤣 🤣 🤣 Hiyo hapo ndiyo biggest Company in Kenya inatengenea faida ya Ksh 35,380.3M
Sawa na $270,270.27
Wakati Twiga Minerals inatoa dividend kwenye serikali ya Tanzania $800,000,000, tuambie faida itakuwa $ ngapi?
Hiki ndicho tulichokuwa tunaongea kijana. 🤣🤣🤣🤣
You are a cow, what does 2024 Full year means? Kweli wewe ni ng’ombe.Kumbe hata kusoma financial statement huijui .
Mwaka wa fedha wa safaricom unaishia 31/03 ya Kila mwaka . Hapo report imeletwa ya mwaka2023/ 2024 kwenye report zote lazima wataleta na report ya mwaka uliopita ili upate vitu kama opening balance.
Kajifunze kutafsiri financial years. Hazisomwi kama maandazi
Report ya 2024/2025 haiwez kuwa imetoka sasa hivi ndo kwanza wanafunga hesabu itarajie baada ya miezi miwili mburula.
Na bado hamtakuwa na faida hata ya 450mil
Nincompoop
Ninyi level yenu ni Burundi, nothing is working in that Shithole
Kwanza uNinyi level yenu ni Burundi, nothing is working in that Shithole View attachment 3311155View attachment 3311156
Ndo maana tunakuambia wewe ni ng'ombe hiyo financial statement au summary ambayo Haina uhalisia , Leo ni 21/02/2025
Our service Export alone is bigger than that $8B u eweka hapo.Ninyi level yenu ni Burundi, nothing is working in that Shithole View attachment 3311155View attachment 3311156
Sasa kati yangu na wewe nani ng’ombe? Hujui hata leo ni tarehe ngapi. Kwani watanzania wote ni wajinga?Ndo maana tunakuambia wewe ni ng'ombe hiyo financial statement au summary ambayo Haina uhalisia , Leo ni 21/02/2025
Our service Export alone is bigger than that $8B u eweka hapo.
Labour export is $4.94B
Tourism $3.5B
Freelance Online services $1.1B
Total $9.5B.
View attachment 3311167
View: https://x.com/BD_Africa/status/1912848538569949301
View: https://x.com/GunnerAfrican/status/1873627691704103193
Our service export alone is more than $9B. So unaezalia ukitaka. Tukiongeza export of goods tunaelekea uko $20B.Total exports 8 basi tuwaongezee na 1bil iwe 9 bil bao mnadeficit ya 6bil
Export kubwa kuliko gdp ya rwanda.💥💥💥Na bado makundustan yanapata guts za kushindana na Tanzania kwenye mambo ya business 😁😁
View attachment 3311147View attachment 3311148
Wewe ndo ng' ombe maana huijui mpaka Leo safaricom bado hajawa na report ya 2024/2025 .Sasa kati yangu na wewe nani ng’ombe? Hujui hata leo ni tarehe ngapi. Kwani watanzania wote ni wajinga?
Yani fala anakuambia with a straight face ati leo ni February😂😂🤣😂
Hamna exports ng'ombe ukileta report ya total report ya kufika hata 12bil naenda kunya barabaranaOur service export alone is more than $9B. So unaezalia ukitaka. Tukiongeza export of goods tunaelekea uko $20B.
Vya kufoji mapatoKwanini tupigizane kelele na vikampuni vya kuuza ubuyu mzee.? 🤣🤣🤣
Sibishani na ng’ombe mwenye hajui hata tarehe ya leo ni ngapi.Wewe ndo ng' ombe maana huijui mpaka Leo safaricom bado hajawa na report ya 2024/2025 .
Taarifa ya fedha sio rahisi kama unavohisi. Kila kampuni Ina financial year yake kwa safaricom inaanzia 1/4 Kila mwaka na hutakuta report yoyote ya fedha isioishia 31/3 ( audited repot