Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na bado makundustan yanapata guts za kushindana na Tanzania kwenye mambo ya business 😁😁

Screenshot_20250421-173136.jpg
Screenshot_20250421-173053.jpg
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Hiyo hapo ndiyo biggest Company in Kenya inatengenea faida ya Ksh 35,380.3M
Sawa na $270,270.27
Wakati Twiga Minerals inatoa dividend kwenye serikali ya Tanzania $800,000,000, tuambie faida itakuwa $ ngapi?

Hiki ndicho tulichokuwa tunaongea kijana. 🤣🤣🤣🤣
Mi naona kama tunabishananga na watu wanataka usaidizi coz warathese?
 
Kumbe hata kusoma financial statement huijui .
Mwaka wa fedha wa safaricom unaishia 31/03 ya Kila mwaka . Hapo report imeletwa ya mwaka2023/ 2024 kwenye report zote lazima wataleta na report ya mwaka uliopita ili upate vitu kama opening balance.
Kajifunze kutafsiri financial years. Hazisomwi kama maandazi
Report ya 2024/2025 haiwez kuwa imetoka sasa hivi ndo kwanza wanafunga hesabu itarajie baada ya miezi miwili mburula.
Na bado hamtakuwa na faida hata ya 450mil

Nincompoop
You are a cow, what does 2024 Full year means? Kweli wewe ni ng’ombe.

IMG_1392.png
 
Ninyi level yenu ni Burundi, nothing is working in that Shithole View attachment 3311155View attachment 3311156
Kwanza u
You are a cow, what does 2024 Full year means? Kweli wewe ni ng’ombe.

View attachment 3311146
Ndo maana tunakuambia wewe ni ng'ombe hiyo financial statement au summary ambayo Haina uhalisia , Leo ni 21/02/2025
Unataka kutuambia washamaliza haya yafuatayo
Stock taking ili kuasses mali zilizopo
Bank reconciliation kujua kama Kuna usawa kati ya benki na cashboook
Uhakika wa madeni yaliyopo yanayohitakika kulipwa na batili ( internal auditors)
Hayo yote yanahitajika kufanya ili upate vitabu halisi kama vya kampuni
Kilichowekwa hapo ni mauzo ambayo bado unaweza Kuta Kuna Kuna pesa unaweza haijakusanywa pamoja na kuwa mauzo yashafanyika
We nguruwe financial statement ndo hutoa uelekeo wa kampuni na SI summary kama unavyojaribu kuleta hapa.
Na ili information yote iwe validy lazima iwe signed , stampend na certified accountants .
Sasa wewe ng'ombe onyesha sahahi ya accounting firm yoyote kwenye hiyo taarifa

Mkiambiwaga hamna akili mmekalia kiingereza kingi lakini zero performance mnaona tuwaonea
 
Ndo maana tunakuambia wewe ni ng'ombe hiyo financial statement au summary ambayo Haina uhalisia , Leo ni 21/02/2025
Sasa kati yangu na wewe nani ng’ombe? Hujui hata leo ni tarehe ngapi. Kwani watanzania wote ni wajinga?

Yani fala anakuambia with a straight face ati leo ni February😂😂🤣😂
 
Sasa kati yangu na wewe nani ng’ombe? Hujui hata leo ni tarehe ngapi. Kwani watanzania wote ni wajinga?

Yani fala anakuambia with a straight face ati leo ni February😂😂🤣😂
Wewe ndo ng' ombe maana huijui mpaka Leo safaricom bado hajawa na report ya 2024/2025 .
Taarifa ya fedha sio rahisi kama unavohisi. Kila kampuni Ina financial year yake kwa safaricom inaanzia 1/4 Kila mwaka na hutakuta report yoyote ya fedha isioishia 31/3 ( audited repot
 
Wewe ndo ng' ombe maana huijui mpaka Leo safaricom bado hajawa na report ya 2024/2025 .
Taarifa ya fedha sio rahisi kama unavohisi. Kila kampuni Ina financial year yake kwa safaricom inaanzia 1/4 Kila mwaka na hutakuta report yoyote ya fedha isioishia 31/3 ( audited repot
Sibishani na ng’ombe mwenye hajui hata tarehe ya leo ni ngapi.
 
Back
Top Bottom