Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Zilikua mbili saivi ni 4, napenda habari kama hizi. Natabiri kufungwa kwa hili loss making airline.
Their GDP is $79B. So debt to GDP is 60%😂🤣😂.National Tanzanian debt now is USD 47.6b, 😂😂😂
View attachment 3310119
Hawana tofauti na jambo supermarket.This is how Naivas outlets look like. 👇🏾View attachment 3309295View attachment 3309296View attachment 3309297View attachment 3309298View attachment 3309299🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Teargas. Hii takataka haiwezani hata na ALLYS STAR bus company
Tatizo lenu mnaingia kichaa kichaa kwenye Tanzania politics
Hahaaa hapo ni mahindi , bado tuna mazao kibao tu tunaexportNageuzaje mjadala? Wewe si ndio umesema tunalia? Wewe si ndio unalazimisha tuonekane tumekosa soko? Ndio nauliza wapi ambapo umesikia tunalia?
Mwisho hoja ni intra-Africa trade kufeli Kwa sababu Nchi zenu zinaongozwa na mbuzi kiasi kwamba Mko radhi kwenda Brazil kununua mahindi na msagirishe Kwa gharama kubwa wakati yapo 🇹🇿 na Zambia.
Na sisi 🇹🇿 hatujawahi kosa soko hata siku Moja as we speak domestic market Kwa Sasa mda wa mavuno inakariba ni 570-800 Tsh/Kg hapo Bado NRFA hawajanunua.
Huyu nyang'au anawawakilisha vizuri akina Teargass 😁😁😁Wapi tunapolia? Umesikia Tanzania tumekosa Kwa kuuza mahindi?
Hoja ni ujinga na upumbavu wa mtu mweusi kwenda kuagiza ngano Kwa bei ya Juu harafu jirani yake anayo akihisi anamkomoa.View attachment 3310079
Financial crisis loading, by the time they wake up it will be too late...Their GDP is $79B. So debt to GDP is 60%😂🤣😂.
Remember 90% of their debt is external.
Tunawalisha na tutaendelea kuwalisha mpaka mwisho wa dunia.Sasa mbona mnalia? Si huwa mnasema mnatulisha? Sasa tukiwapunguzia mzigo wa kutulisha tena mnalia?🤣🤣
We need this stadium in KPL, together with Kirigiti, Kinoru and Homa Bay. Dandora stadium ipumzishwe
Online Money aka Virtual Wealth 🤣 🤣 🤣 🤣Their GDP is $79B. So debt to GDP is 60%😂🤣😂.
Remember 90% of their debt is external.
simba inatakiwa ishinde kwa magoli at least 3 kuwa na uhakika! Hakuna mbadala!Duh sijui itakuaje leo 🤦🏾♂️.
All that just because of a wedding? Mpo aje nyinyiWatanzania wame sett bar. Huko Nigeria naona wanasema watanzania noma. Tanzania itakuwa center of Fashion. Hili jambo mzee si dogo. Ngoja sasa tusubiri hapa Dar mwezi wa Tano. Dunia kwa sasa itakuwa inatanzama what will happen in Tanzania. Kama walienda wachache tu huko Nigeria je, itakuwaje hapa TZ in full house?