President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
Nenda kwalilie Melt sio Mimi niliondika buda. 🤣🤣🤣When is soon?
Ogopa Naivas bana, yani kampuni moja imewatoa jasho, intafutiwa group of companies zishakinishwe pamoja just to compete.
Unanipigia kelele. Hii ni report ya 2017 lake oil ilikua inapiga $1 billion already sahii si ajabu wapo hat $1.5 billion-$2 billion yearly 👇🏾Hadi unaleta joint ventures with government, enyewe ogopa Naivas. 🤣🤣🤣
Watakimbia mbona. Nimegundua kuna kampuni nyingi sana bongo zinapiga revenues za $1.5 billion to $2 billion. 🤣🤣🤣 na ni local investors. Niggaz are Tanzanians.
Watapotea si muda mrefu. Mpaka kesho watakuja na project yao moja pendwa 🤣 🤣 🤣Watakimbia mbona. Nimegundua kuna kampuni nyingi sana bongo zinapiga revenues za $1.5 billion to $2 billion. 🤣🤣🤣 na ni local investors. Niggaz are Tanzanians.
Sasa mjomba kwani hiyo sio kampuni.? 🤣🤣🤣🤣 au serikali ukitoa shares Ndio inaondoa uhalali wa kuwa kampuni ya kujitegemea au.? 🤣🤣🤣Hadi unaleta joint ventures with government, enyewe ogopa Naivas. 🤣🤣🤣
Unajua maana ya joint venture au unaongea tu fwaaaaa? Na wanaongolea contribution amabyo hata hatujui ni nini. Weka revenue hapa, Wacha kutapatapa.Sasa mjomba kwani hiyo sio kampuni.? 🤣🤣🤣🤣 au serikali ukitoa shares Ndio inaondoa uhalali wa kuwa kampuni ya kujitegemea au.? 🤣🤣🤣
Si uweke ya sahii, hapa hatudeal na guess work.Nenda kwalilie Melt sio Mimi niliondika buda. 🤣🤣🤣
Unanipigia kelele. Hii ni report ya 2017 lake oil ilikua inapiga $1 billion already sahii si ajabu wapo hat $1.5 billion-$2 billion yearly 👇🏾View attachment 3310304👇🏾. Meet The 36 Year-Old Entrepreneur Who Built A $1 Billion Oil Company In Tanzania.
Puresha imetoka hapa?Leo sitii neno hadi mechi iishe. Mana nimepata baridi ya ghafla.
Subiri mpira uishe kwanza mdogo wangu. Tutakuja na mvua ya comments, sidhani kama unaweza.....Si uweke ya sahii, hapa hatudeal na guess work.
Scenes at AFCON 2027, Wazee wa fungulia mbwa .....
View: https://x.com/sportshqtz/status/1913822138768691294?t=DZ2rCW6Fa6Cc-K0Drp3s1A&s=19
We kazi yako kubishana tu. 🤣🤣🤣 Kaa pembeni mjomba Tz sio size yenu.Si uweke ya sahii, hapa hatudeal na guess work.
Scenes at AFCON 2027, Wazee wa fungulia mbwa .....
View: https://x.com/sportshqtz/status/1913822138768691294?t=DZ2rCW6Fa6Cc-K0Drp3s1A&s=19
Ndio tabia za maskini kaka. Hutakiwi kuwa na urafiki na mtu ambaye ni maskini na mwenye njaa.Kwa nini una wivu hivi wewe nyang'au?😁
We fala unataka kunifundisha maana ya maneno tena.? 🤣🤣🤣🤣. Serikali imetia pesa na mwekezaji binafsi ametia pesa. Joint venture = ubia. Tz gvt katia 16% hapo TWIGA MINING COMPANY.Unajua maana ya joint venture au unaongea tu fwaaaaa? Na wanaongolea contribution amabyo hata hatujui ni nini. Weka revenue hapa, Wacha kutapatapa.
Weka recent numbers, bongolalas tunawajua Kwa guesswork.We kazi yako kubishana tu. 🤣🤣🤣 Kaa pembeni mjomba Tz sio size yenu.