Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
Jana Diamond akiwa anatoka kwenye Club jana huko Nigeria. Escort yake ni noma
View: https://www.instagram.com/reel/DIqmNNTNWHc/
Hio ksh 96 billion revenue bado inawauma. 🤣🤣🤣This is how Naivas outlets look like. 👇🏾View attachment 3309295View attachment 3309296View attachment 3309297View attachment 3309298View attachment 3309299🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Teargas. Hii takataka haiwezani hata na ALLYS STAR bus company
Tuambie huko kenya Event ya Pasaka kuna nini huko? 🤣 🤣 🤣 🤣 Kimyaaaaa. Hizi Events zinaonesha utajiri wa nchi siyo maneno tu.Hio ksh 96 billion revenue bado inawauma. 🤣🤣🤣
Ebu Mwambie akutajie tu kampuni tano in Tanzania that made hiyo profit ya Naivas that they despise. Akikuonyesha nahama JF.Hio ksh 96 billion revenue bado inawauma. 🤣🤣🤣
Right now we are spoilt of stadium choices.We need this stadium in KPL, together with Kirigiti, Kinoru and Homa Bay. Dandora stadium ipumzishwe
Akitaja nimention tucheke pamoja. 🤣🤣Ebu Mwambie akutajie tu kampuni tano in Tanzania that made hiyo profit ya Naivas that they despise. Akikuonyesha nahama JF.
Ebu Mwambie akutajie tu kampuni tano in Tanzania that made hiyo profit ya Naivas that they despise. Akikuonyesha nahama JF.
Me nikiwa busy na mechi ya Simba. Nyie hangaikeni kwanza na hii Melt group. Its revenue is $2 billion yearly. 🤣🤣👇🏾 no Kunyana company can come close, and guess what.? This is local investment.Akitaja nimention tucheke pamoja. 🤣🤣
Mambo ya Azam uliachana nayo?😂🤣😂. Alafu wamesema soon they will cross $2B, meaning they are still far from getting to that number. Now I want to ask you something, is this the biggest company in Tanzania by revenue?Me nikiwa busy na mechi ya Simba. Nyie hangaikeni kwanza na hii Melt group. Its revenue is $2 billion yearly. 🤣🤣👇🏾 no Kunyana company can come close, and guess what.? This is local investment. View attachment 3310266👇🏾MeTL Group | LinkedIn.
Wewe si ulietaka kampuni tano zenye zima generate over 2 billion kenya sh.? 🤣🤣🤣Mambo ya Azam uliachana nayo?😂🤣😂. Alafu wamesema soon they will cross $2B, meaning they are still far from getting to that number. Now I want to ask you something, is this the biggest company in Tanzania by revenue?
Katika zile kampuni 5 ulizoomba hii ni kampuni ya 3. TWIGA MINING COMPANY 🤣🤣👇🏾 sasa hii ni balaa kwasababu serikali pekee inapokea $888 million yearly. Sijui growth revenue Yao inakua kubwa kiasi gani. 👇🏾Mambo ya Azam uliachana nayo?😂🤣😂. Alafu wamesema soon they will cross $2B, meaning they are still far from getting to that number. Now I want to ask you something, is this the biggest company in Tanzania by revenue?
When is soon?Me nikiwa busy na mechi ya Simba. Nyie hangaikeni kwanza na hii Melt group. Its revenue is $2 billion yearly. 🤣🤣👇🏾 no Kunyana company can come close, and guess what.? This is local investment. View attachment 3310266👇🏾MeTL Group | LinkedIn.
Hadi unaleta joint ventures with government, enyewe ogopa Naivas. 🤣🤣🤣Katika zile kampuni 5 ulizoomba hii ni kampuni ya 3. TWIGA MINING COMPANY 🤣🤣👇🏾 sasa hii ni balaa kwasababu serikali pekee inapokea $888 million yearly. Sijui growth revenue Yao inakua kubwa kiasi gani. 👇🏾View attachment 3310289.. 👇🏾Barrick Gold Injects $4.24 Billion into Tanzanian Economy Through Twiga Joint Venture Between 2019 and 2024.
La Gorhamia liko wapi?Kumbe ni re used