Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huna akili wewe kwenye ku fund project ni lazma washirikiane wote ndio maana inaitwa PPP mbuzi wewe😂😂😂😂

yani ruto anajua kushika makende yenu mbuzi nyinyi
"Ni lazima washirikiane"
Akina nani hao bongolala?
 
Umeongea na mihemko sana, just like most of you here do. First and foremost, how is Arusha stadium, a 30k-seater stadium taking a bigger surface area than a stadium with 60k seats? I mean how? 🤔 Explain to me like a two-year old coz I don't understand this logic.

Secondly, we already have a stadium yenye viwango vya Olympics kule Kasarani, just in case you didn't know. Kasarani is a multipurpose stadium that has a football pitch, a running track, an indoor arena, a competition pool for swimmers and a 108-bed capacity hotel. Tell me which stadium in the whole of Tanganyika has all those. The answer is none! Lakini kelele unatupigia hapa.

Kenya hatuna mashabiki wengi wakati pictures have been shared here of full stadiums even in our second tier league. Nyinyi si mnajaza tu uwanja Simba ikicheza na Yanga?

You are not planning or strategizing on anything. If that were the case, Tanzania ingekuwa a major sporting nation, something that is not the case. Kenya inajulikana kimchezo kuwaliko tena mbali sana.

You had money to build even 100k seat stadiums wakati your biggest so far ni donation kutoka kwa watu wa China! What a confused element!

The only sensible thing you've said in your essay is that we should have built Talanta in a new city, possibly Mombasa. I understand that was the initial plan (in Jomvu to be precise) but I don't know how this was shelved.

Alafu unamaliza kwa ukilaza wenu. Did you say miundumbinu? Show me a better town in Tanzania other than Dar with better infrastructure than Mombasa. Kwa hayo machache, ugua pole
Mwambie kasarani complex has space to build even 2 more 60k capacity stadia with space left if they want to…it even has a rally stage..
google maps iko for evidence
IMG_3791.jpeg
 
Back
Top Bottom