Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Kwani iliyotajwa kwenye hiyo tweet ni Mumbai?Ushawahi kusikia Dar ikitajwa kuhusu slums?
Kwani iliyotajwa kwenye hiyo tweet ni Mumbai?Ushawahi kusikia Dar ikitajwa kuhusu slums?
Nyingine ndio hii hapa bongolalaKwahiyo Ukunyani tu madaraja yana thermal expansion na hukatika hivyo?
Kwa hivyo a conference center is part of infrastructure?🤔🤔🤔Umeingia kwenye mfumo
1. Arusha International Conference Centre
Tuwekee ya Mombasa tuone. Usikimbie
Arusha ni Switzerland of Africa
Naona sauti za ngoma zinabadilika polepole, kadri ya jua inavyokua Kali🤣🤣🤣🤣🤣unless uwe hujui maana ya PPP unafkiri na nyie hamutoi pesa kuna its either inaeza kua china 90% to kenya 10% au china80% to kenya 20%
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
kasome kwanza maana ya PPP mbuzi wewe alaf rudi hapa tuzungumze😂😂😂Naona sauti za ngoma zinabadilika polepole, kadri ya jua inavyokua Kali🤣🤣🤣🤣🤣
safari ya ufaransa ilijaa uongo uliotukuka kutoka kwa kasongo 😂😂😂😂😂😂
yani wakenya wanapenda kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1910880550501650642?s=46
Wamepeana vitengo, kuna mmoja kapewa kitengo cha kulazimisha slums ziwepo Tanzania, yaani nyumba za full bati! 😂😂😂Wapo serious kweli kweli, wakati sisi tunawaenjoy tu 🤣🤣🤣🤣🤣
PPP ya kugawana percentages 🤣🤣🤣🤣kasome kwanza maana ya PPP mbuzi wewe alaf rudi hapa tuzungumze😂😂😂
leo imekua unfavourable contracts wakat mulikua mukishangilia hapa 😂😂😂When Kenya cancels unfavorable contracts tunadanganywa. When Tanzania cancels such deals like it did Bwagamoyo port, ni kwa ajili ya taifa. Mibongolala mnatia huruma jameni 😂😂😂
Acha kujiaibisha 😀 😀 😀 Tunajua elimu yenu ipo chini ya kiwango but tunaficha hii aibu ya East AfricaKwa hivyo a conference center is part of infrastructure?🤔🤔🤔
Hii ulifundishwa wapi bongolala?
Kwa hiyo?😁Those are not my words. Ni za mtanzania mwenzenu, wale wanaojielewa
huna akili wewe kwenye ku fund project ni lazma washirikiane wote ndio maana inaitwa PPP mbuzi wewe😂😂😂😂PPP ya kugawana percentages 🤣🤣🤣🤣
Tunawabonda wote kwa pamojaWamepeana vitengo, kuna mmoja kapewa kitengo cha kulazimisha slums ziwepo Tanzania, yaani nyumba za full bati! 😂😂😂
wameshtuka wenzako wanaakili sio nyinyi kazi yenu kushikiwa akili kwa uwongo😂😂Twitter warriors
When you signed Bwagamoyo port umesahau you people posted it here a million times a day? Kweli nyani haoni kundule!leo imekua unfavourable contracts wakat mulikua mukishangilia hapa 😂😂😂
niliwaambia kasongo anawadanganya yani jamaa anajua kuwatandika😂😂