Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo Ukunyani tu madaraja yana thermal expansion na hukatika hivyo?
Nyingine ndio hii hapa bongolala
Dofoto_20250411_211508544.jpg


Sasa tuambie... Nairobi expressway litaanguka lini?😂😂😂
 
Umeingia kwenye mfumo

1. Arusha International Conference Centre

Tuwekee ya Mombasa tuone. Usikimbie

Arusha ni Switzerland of Africa
Kwa hivyo a conference center is part of infrastructure?🤔🤔🤔

Hii ulifundishwa wapi bongolala?
 
unless uwe hujui maana ya PPP unafkiri na nyie hamutoi pesa kuna its either inaeza kua china 90% to kenya 10% au china80% to kenya 20%

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naona sauti za ngoma zinabadilika polepole, kadri ya jua inavyokua Kali🤣🤣🤣🤣🤣
 
When Kenya cancels unfavorable contracts tunadanganywa. When Tanzania cancels such deals like it did Bwagamoyo port, ni kwa ajili ya taifa. Mibongolala mnatia huruma jameni 😂😂😂
leo imekua unfavourable contracts wakat mulikua mukishangilia hapa 😂😂😂

niliwaambia kasongo anawadanganya yani jamaa anajua kuwatandika😂😂
 
leo imekua unfavourable contracts wakat mulikua mukishangilia hapa 😂😂😂

niliwaambia kasongo anawadanganya yani jamaa anajua kuwatandika😂😂
When you signed Bwagamoyo port umesahau you people posted it here a million times a day? Kweli nyani haoni kundule!
 
Back
Top Bottom