instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,781
Huyu si walisema ni mwizi?Really? Sasa cessna ndege inayomilikiwa na vijana wadogo wa 28 years old huku Kenya unapost kama national pride… watz bana
View attachment 3301304
View attachment 3301305
Anyway hata kama hio ni kubwa bado sio vitu vya kupost humu…
Tunajua kila kitu sisi.