We are builiding two Stadiums 30K, uwanja wa Arusha unachukua eneo kubwa kuliko viwanja vyote viko Kenya.
Kwa project ya Serikali mlitakiwa mjenge Uwanja wenye viwango vya Olympic... Kenya hamna washabiki wa mpira wengi kujaza uwanja wenu, Kenya mnawanariadha wengi, that could be good value for money tena ingekuwa njia nzuri ya kujitangaza zaidi.
You need to learn and appriciate long term planning na Strategy za Tanzania.
We had money to build completely new Big Stadium in Dar es salaam with 70-100K seaters. Lakini tuna miji mingine muhimu,
Half of the Price tumepeleka Arusha ambayo ni moja ya biggest tourists destination, na Nyingine tumepeleka Dodoma ambayo ni Administrative capital.
First we attarct new Investors and opportunities, second kuna maisha baada ya AFCON miji mingine lazima ikue.
Why you don't build a stadium in Mombasa ambayo second important city hapo Kenya, hamna miundombinu au ni wizi watu wachache wanajitengenezea fursa
Umeongea na mihemko sana, just like most of you here do. First and foremost, how is Arusha stadium, a 30k-seater stadium taking a bigger surface area than a stadium with 60k seats? I mean how? 🤔 Explain to me like a two-year old coz I don't understand this logic.
Secondly, we already have a stadium yenye viwango vya Olympics kule Kasarani, just in case you didn't know. Kasarani is a multipurpose stadium that has a football pitch, a running track, an indoor arena, a competition pool for swimmers and a 108-bed capacity hotel. Tell me which stadium in the whole of Tanganyika has all those. The answer is none! Lakini kelele unatupigia hapa.
Kenya hatuna mashabiki wengi wakati pictures have been shared here of full stadiums even in our second tier league. Nyinyi si mnajaza tu uwanja Simba ikicheza na Yanga?
You are not planning or strategizing on anything. If that were the case, Tanzania ingekuwa a major sporting nation, something that is not the case. Kenya inajulikana kimchezo kuwaliko tena mbali sana.
You had money to build even 100k seat stadiums wakati your biggest so far ni donation kutoka kwa watu wa China! What a confused element!
The only sensible thing you've said in your essay is that we should have built Talanta in a new city, possibly Mombasa. I understand that was the initial plan (in Jomvu to be precise) but I don't know how this was shelved.
Alafu unamaliza kwa ukilaza wenu. Did you say miundumbinu? Show me a better town in Tanzania other than Dar with better infrastructure than Mombasa. Kwa hayo machache, ugua pole