Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyans have filled Nyayo Stadium for two consecutive weeks.

Gor Mahia Vs FC Leopards.

May be an image of crowd
Sema wajaluo filled the cowshed, mpira wenu ni ethnicity influenced kama siasa zenu tu
 
source au proof ya wee kuwa na uwezo wa kuingiza hiyo hela kwa siku. sababu hakuna kinachoverify wewe kuwa na hizo hela
Yani fukara ni fukara tu, sasa ksh75k ni Sawa na tzs 1,275,000 sasa hiyo ni pesa ndogo sn, only fukaraz can brag about it, kuna vitu ukiangalia unagundua kabisa una debate na mtu wa aina gn that's why nikampiga ban ku debate na mm, hana hadhi hiyo, background yake inaonekana mbovu sn.
 
Ajabu kweli.. eti wewe pia unajiona una maana. 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾
Kuna picha iliwekwa humu anamuuguza babaake, aisee nilishangaa sn. Kuna kitu nmegundua, hawa wanusa gundi wengi wa humu kazi zao ni za mtandaoni, ni kama wale wezi wa tuma humu jina litasoma Omary Awadhi, hawana kazi ya kufanya zaidi ya kushinda mitandaoni, ndiyo mana muda wote wapo jf, twitter, tiktok, insta etc

Kenya maisha magumu sn na ajira hakuna, so hawa wanusa gundi wamejiajiri kwenye mitandao, muda wote wapo updated na mambo ya mitandao, ndiyo ajira yao, no wonder mtu anakuambia nime invest 75k, sasa unajaribu kuwaza kwamba ikiwa mtu anapost mtandaoni kwamba ame invest kiwango kidogo namna hiyo na anapost aiseee.
 
Vichakani aisee
Leo nilikuwa bar fulani kuna channel waliweka ilikuwa inaonesha derby yao, aisee nilikaa kimya nikawa nasikiliza comment za wadau, ofcz wengi walikuwa hawajui timu zinazocheza, mm nikawa nawaambia hizo ndiyo Simba na Yanga za Kenya, wengi wakawa wanasema mbona wanacheza kwenye kiwanja kidogo namna hii? Nikawaambia huo ndiyo uwanja wao mkubwa huko Kenya, wengi walishangaa sn na wakauliza mbona uwanja mbaya hivi? Alafu mbona timu zao zina jezi mbaya? Nikawaambia hiyo ya kijani inaitwa Gor mahia, jezi zao zimebuniwa na anayebuni jezi za Yanga, wengi wakaniambia ni jezi mbaya, nikawa sina jibu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
hana huo uwezo na hata hiyo kazi hana , inshort ni unemployed
Hako kasenge nilikuwa nakatesa sn miaka ya nyuma, mm naonesha nyumba yangu kenyewe kakawa kanasema hakawezi kuweka mambo yake mtandaoni kumbe hakana pesa, nilipoendelea kukapiga na kupost pesa kakaanza ku download pesa mtandaoni nikakastukia nikawa nakaita bwana mapesa, kakakimbia kakarudi nikawa nakatesa sn mpaka pale kalipopata kazi ya kuosha vidonda kakawa kana make miezi miwili kakipokea mshahara kanatupia jf, baadae nikagundua ni Ka fake so nikakapiga ban kudebate na mm lkn bado hakajaamini kama nimekaacha so huwa kananichokozachokoza ili tuendelee kubatle sema nimekakataa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo atakusumbua mzee hana mia mbovu huyo mbwa. Juzi juzi tu alikua ananisumbua DM kutaka kujua chupi za bei rahisi bongo. 🤣🤣🤣 we muache tu ajifurahishe.. usijishushie heshima kupigizana kelele na hiyo takataka.
Na usikute keshawafuata watz wengi inbox akiomba fursa, bado kanajitafuta sema ni kajeuri kweli kweli.
 
Screenshot_20250326_225126_Photos.jpg

mwaiofhawaii njoo ulione dundo jordan travis scott ndani ya bern na sina habari na mtu
Bro!.. I can seriously start a GoFundMe account with my fellow Kenyans dedicated to you. Tutakununulia viatu. We are generous fellas. Uko na shinda . Sometimes it’s takes courage to accept your fate ..😁😁
 
View attachment 3288004
mwaiofhawaii njoo ulione dundo jordan travis scott ndani ya bern na sina habari na mtu
Jokes aside, am very serious about this. Inbox me your address in Tanzania. I will buy you any Jordan shoes you choose . Just indicate color and size . I will ship it to you free . You can report that here after receiving the package 📦. That’s a promise I will keep . Dare me. Na sio madharau
 
Back
Top Bottom