babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Angalia hii “dabi” 😂😂😂Wewe labda ni zuzu unaijua 14 million Tz money.? 🤣🤣🤣 hiyo ni pesa ya viingilio vya watu elfu 1 waliolipa regular. ndani ya uwanja wa watu 60k.
Uendeshaji wa team moja Tz. Simba let say gharama zake unaweza kuendesha ligi yote ya Kundurenda.
Yanga inakusanya 545 million Tz money 2020 report says 👇🏾View attachment 3288024which is 28 million kenya sh 👇🏾View attachment 3288026hii ni report ya miaka mitano iliyopita. 🤣🤣