Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya mwenxako kafika Arusha tu anasema anaijua Tz nzima. 🤣🤣🤣 mwingine anadai yeye ni mmarekani kwasababu anaishi huko kapost picha kibao humu, wew ndio ungekua umesafiri si tunge koma. 🤣🤣🤣.
He simply stated his observations which your chimpanzee level IQ wasn't enough to engage in an intelligent manner so your low self esteem kicked in. The same person has posted photos here of himself in China. mwaiofhawaii does live in the US. Meanwhile wewe ulipanda basi wiki mbili ulishinda ukipost picha humu ukiwa kwenye basi. You clearly lack exposure. No wonder akina Teargass wanakuita fukara wa JF.
 
He simply stated his observations which your chimpanzee level IQ wasn't enough to engage in an intelligent manner so your low self esteem kicked in. The same person has posted photos here of himself in China. mwaiofhawaii does live in the US. Meanwhile wewe ulipanda basi wiki mbili ulishinda ukipost picha humu ukiwa kwenye basi. You clearly lack exposure. No wonder akina Teargass wanakuita fukara wa JF.
Nyie kweli ni ng’ombe mnateteana upumbavu.? 🤣🤣

Si mwenzako jana kapost picha ya daladala akasema “there are zero public cars in Tz that are less than 25 years” kwa observation ya Arusha tu.? Tena katoa huu mtazamo baada kutembea mitaa miwili mitatu.? Coz nomarlly kuna coasters zinafonya daladaka in Arusha. Yani tumuache apotoshe.? 🤣🤣 we ni unaliwa kiboga nini.?

Kaenda china ipi.? Labda kama kuna mtaa unaitwa china hapo kenya. 🤣🤣🤣 kafika Chuga tu picha kibao, ndio angekua china ingekuaje.?

Nataka uweke wewe picha za uliposafiri, usizungushw zungushe maelezo. 🤣🤣 ukute hata Nairobi enyewe haujawahi kufika.
 
Niko sure uko sehemu umetulia ukasema wacha nibishane na hizi kondoo, huwezi linganisha ligi ya wakulima na ligi namba nne kwa ubora. 😂😂😂

View: https://x.com/rabsonkelvin/status/1440592913361096709?s=46

In short Shabana FC wakikuja Tanzania will be the leading Teams with most gate collection revenue?😂😂😂.

Yanga get’s an average of Ksh2M per home match which translate to less than 10k spectors at Makwapa every match🤣🤣😂😂
 
He simply stated his observations which your chimpanzee level IQ wasn't enough to engage in an intelligent manner so your low self esteem kicked in. The same person has posted photos here of himself in China. mwaiofhawaii does live in the US. Meanwhile wewe ulipanda basi wiki mbili ulishinda ukipost picha humu ukiwa kwenye basi. You clearly lack exposure. No wonder akina Teargass wanakuita fukara wa JF.
Screenshot_20250326_225126_Photos.jpg

mwaiofhawaii njoo ulione dundo jordan travis scott ndani ya bern na sina habari na mtu
 
Ndio mkuu huku tunapoteza poteza muda kidogo. 🤣🤣

Jamaa ni wabishi hawa balaa na kamwe hawatawahi kukubali kushindwa lakini kuna vichaka vyao kimoja kimoja tumeshaanza kuvifyeka.
Your top team collects only Ksh 2M per match, Gor does Ksh8M.

Na tukiwaambia hamlipi kiingilio mnaona vibaya😂😂
 
Nyie kweli ni ng’ombe mnateteana upumbavu.? 🤣🤣

Si mwenzako jana kapost picha ya daladala akasema “there are zero public cars in Tz that are less than 25 years” kwa observation ya Arusha tu.? Tena katoa huu mtazamo baada kutembea mitaa miwili mitatu.? Coz nomarlly kuna coasters zinafonya daladaka in Arusha. Yani tumuache apotoshe.? 🤣🤣 we ni unaliwa kiboga nini.?

Kaenda china ipi.? Labda kama kuna mtaa unaitwa china hapo kenya. 🤣🤣🤣 kafika Chuga tu picha kibao, ndio angekua china ingekuaje.?

Nataka uweke wewe picha za uliposafiri, usizungushw zungushe maelezo. 🤣🤣 ukute hata Nairobi enyewe haujawahi kufika.
Fukara wa JF, just because wewe kufika Tanga na Mwanza ni miujiza unaona watu kufika China ni impossible? You need help. 😂😂
 
In short Shabana FC wakikuja Tanzania will be the leading Teams with most gate collection revenue?😂😂😂.

Yanga get’s an average of Ksh2M per home match which translate to less than 10k spectors at Makwapa every match🤣🤣😂😂
Huu ni ujinga sasa, nioneshe mapato ya hiyo takataka umetaja hapo kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom