Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila cha ajabu export value ya Tanzania hamtokaa muifikie hata mjitoe photocopies 200, sasa hayo makampuni ya kazi gani kama hakuna yanachoexport wala kuzuia over importation? šŸ˜‚ Hapo ndio unajua ni data za uongo
KQ imepata faida ila kuna ndege ke ziko grounded hazifanyi kai sababu hawana hela yakuzimantain
 
mimi nina evidence wewe huna.
mimi ina operational licence ila wewe huna.
mimi nina kituo cha kazi au ofisi ya kuniingizia kipato na nin uwe wakwenda nikapiga picha popote ila wewe huna.
Evidence ya nini? Unafaa uniulize evidence ya investing that amount, sio penye nimetowa pesa.
 
Evidence ya nini? Unafaa uniulize evidence ya investing that amount, sio penye nimetowa pesa.
tunataka ulipozitoa kama ni slary basi utascreenshot mkataba unaoneshaunalipw 75k per month u kama unabiashara utasrcreenshot licence na picha za office yako zisizopungua tano
 
Export value ya Tanzania ya gold ya wazungu ama?
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ Huna akili hata 1, nini maana ya international companies? Sasa kama Tanzania hazipo international multi billion companies more than Kunyaland kwanini tuwashinde export value? šŸ˜‚
 
Back
Top Bottom