Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyans have filled Nyayo Stadium for two consecutive weeks.

Gor Mahia Vs FC Leopards.

May be an image of crowd
 
Sasa wewe baboon mwenye hujawai toka tandale tukusemeje? Nakumbuka watu hawakumpumzika humu ulipopanda basi kwa mara ya kwanza kwenda Moshi.
Mimi ni traveler wew mama, am traveling karibu kila wiki, yani haupiti mwezi sijasafiri. Ukiona nimepost hapa ni kwasababu, nikisema nipost kila ninavyosafiri hapa utachukia kwa roho mbaya. 🤣🤣 ngoja kwanza nikueleze route zangu ili uumie. Hizi ni safari zangu za mwezi wa pili na watatu

1.Dar-Arusha
2.Arusha-Moshi (nilihudhuria kili marathon)
3.Moshi-Dar
4.Dar-Arusha
5.Arusha-Tanga
6.Tanga-Dar

Nikisema nipost hizi zote utaumwa kichwa. 🤣🤣🤣.
 
Mimi ni traveler wew mama, am traveling karibu kila wiki, yani haupiti mwezi sijasafiri. Ukiona nimepost hapa ni kwasababu, nikisema nipost kila ninavyosafiri hapa utachukia kwa roho mbaya. 🤣🤣
Kutoka mbagala hadi manzese sio kutravel wee kima. Umejifungia Tandale miaka yako yote alafu unataka kujibizana na waliotembea?
 
Mimi ni traveler wew mama, am traveling karibu kila wiki, yani haupiti mwezi sijasafiri. Ukiona nimepost hapa ni kwasababu, nikisema nipost kila ninavyosafiri hapa utachukia kwa roho mbaya. 🤣🤣 ngoja kwanza nikueleze route zangu ili uumie. Hizi ni safari zangu za mwezi wa pili na watatu

1.Dar-Arusha
2.Arusha-Moshi (nilihudhuria kili marathon)
3.Moshi-Dar
4.Dar-Arusha
5.Arusha-Tanga
6.Tanga-Dar

Nikisema nipost hizi zote utaumwa kichwa. 🤣🤣🤣.

Kutoka mbagala hadi manzese sio kutravel wee kima. Umejifungia Tandale miaka yako yote alafu unataka kujibizana na waliotembea?
Pita hapo juu. 🤣🤣 hapa enyewe nasubiri Eid elfitri iishe niingie Mwanza. 🤣🤣 mimi ni msafiri malaya hii.
 
Back
Top Bottom