Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So akina GTC hazifiki 15 floors? The likes of Britam, UAP, 88 Nairobi na Prism hazifi 15 floors. Ama unaongea tu because baboons were finally granted freedom of speech?
Sasa kwenye picha ni gorofa zipi zinaonekana kwa karibu.? Au kuna GTC hapa.?
IMG_5959.jpeg
ilimradi ubishe.? 🤣🤣
 
Mzee clip za namna hiyo si zipo tu mitandaoni? Au unataka nkuletee pia za vijana wa bongo wamejirekodi na magari ya hivyo,
Kwani hujaona Kuna some old pickups zimepisha njia ili hao wa msafara wa show off wapite ?
Unadhani nani wanauziwa hizi magari? Dealership kama hii bongoslum huwezi pata ju purchasing power is so small. 🤣 🤣 The very few rich people in bongoslum prefer to do direct import ju it's almost impossible kupata such cars sold locally.


View: https://www.instagram.com/p/DG3cc5pIMv6/
 
Ongeza na hii hopo ni CBD
1738527015778.jpg

Niliahidi na nimetekeleza.
Hii ni upcountry bus terminal ya Nairobi
Hiv haya Magari ni ya 2025?

Na NairobiWalker mbona mwabadilisha maroli na canters kuwa buses?
Hii ni aibu kwa capital city kuwa na Usafiri wa namna hii. Halafu probox kibao za 2000s zimejaa Nairobi. Hizo hiace ni za mwaka gani?
Tazama hii video

View: https://youtu.be/laOuukHt7hw?si=KNy5cCpCashec6Ov


Picha zaidiView attachment 3286145View attachment 3286146View attachment 3286147View attachment 3286152View attachment 3286156View attachment 3286157View attachment 3286155
 
Kumbe na nyie mnapenda running track nilifikiri ni sisi tuu
Soma historia . The stadium was built in the 80s for the 4th All African Games ( so track ni lazima just like an Olympic stadia)plus we are a running nation.
Talanta will be pure Football or Rugby kama Ulaya na Marekani ..
Btw … why keep on adding track lanes in your new stadiums ( you are not a running nation)
New Arusha iko nazo
New Dodoma iko nazo
Talanta will be the most amazing stadium in the region
 
Soma historia . The stadium was built in the 80s for the 4th All African Games ( so track ni lazima just like an Olympic stadia)plus we are a running nation.
Talanta will be pure Football or Rugby kama Ulaya na Marekani ..
Btw … why keep on adding track lanes in your new stadiums ( you are not a running nation)
New Arusha iko nazo
New Dodoma iko nazo
Talanta will be the most amazing stadium in the region
Serikali yetu sio ya wenda wazimu mzee.

Hatufanyi vitu kwa kugeza jirani kafanya nini.

Arusha ni mji wetu ambao ni very strategic hatuwezi jenga uwanja huko uwe wa football tu kwasababu hizi.
1. Arusha si mkoa unaofanya vizuri kimpira Tz (only city in Tz with no football team participating TZ premium league)
2.kujenga uwanja wenye running track Arusha kutaipa mji fursa ya ku host events mbali mbali za ki Olimpiki ukiachana na mpira wa miguu (ukizungatia Arusha ni mji wa kitalii)
3.and of course uwanja wa namna ile utaipa Arusha fursa pia ya ku host events za kitaifa kiserikali na social events zingine za namna hiyo.
 
Back
Top Bottom