Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

16. Bahati Affordable Housing, $10M

Total is now $1.115B


View: https://x.com/BiancaNaom1/status/1895480792060760135

wewe unatakuwa una matatizo makubwa ya akili! Unajua one billion dollar lakini? Acheni uongo uongo. Tupe jina la project nzima tutafute thamani yake.

Hii ni Amber Resort Zanzibar ni over $1.5B ona jinsi ilivyo na fananisha na vigorofa vyenu uchwarwa mnadai eti ni $1.1B. Kuna Hospital mpaka airport.

1742603858682.png


1742603941036.png



1742604235076.png
 
So siku hizi serikali ya Kenya ni warabu? Mmezoea kutawaliwa na warabu hadi unadhani kila nchi ni Kama Tanzania. Every single Kenyan is financially contributing to Affordable Housing. For me every month I’m contributing close to 5 Cements for Affordable Housing.
Huyo mkenya wa kukatwa hela yuko wapi? Kama hawa gikuyu ambao mnasema ndio matajiri Africa wanauana huku sababu ya chukula cha mifugo msaada wa China? Mliowadhulumu northerners 😅😅😅😅
Screenshot_20250321-164805.jpg
 
Nakumbuka ilitokea moja hapa kwetu ya USA tuwalishe pamoja kilichotokea watu walitukana hadi Bashe akalitolea ufafanuzi kama kuna mtu anahitaji kusaidia watu anunue chakula Tanzania na sio kukitoa nje ya nchi hawa mbuzi wa kibera wanakula mchere wa plastiki masikini ni masikini tu hata ajitutumue vipi ukweli utabaki palepale
😂😂😂 Mkundustan goal lake ni kuunda sentence 2 za kiingereza hata zikiwa ungrammatical na accent ya kikisii he's done 😂
 
sasa umeamini kuwa tanzania si giant kuliko nyinyi. kama project moja ya gas inaweza beba dhamani ya miradi yote ya LAPPSET ikiwamo bandari, airports, railway na the like . tukiweka sgr mtwara songea, mchuchuma project , sgr dar-mwanza si tunaweza nunua kenya nzima mpaka hela ya posa kwa kia mwanamke wa kikenya tukapata
Kenya sgr yao ni 3 billion na yote hiyo ni pesa ya mchina, lamu port ni 500 million usd, LAPSSET kwisha, mwambie akuoneshe project nyingine LAPSSET
 
Wewe tulia ukule doze.

I hope uko na Calculator.

Mukuru Kwa Njenga $116M

Total za Hizo mbili ni ngapi so far ?

View: https://x.com/Goddie_Ke/status/1731244365840855391

Ninyi ni wapumbavu kweli hilo ghorofa 1 la floor chini ya 12 halina uwezo wa kubeba units zaidi ya 100 hata zote zikiwa bedsitter, zipo ghorofa ngapi hapo za units 14k? Yanahitajika ghorofa 140 hapo kuaccommodate that figure wakati project nzima hata nusu ya ghorofa 140 hamna. 😂😂
 
Starehe Point is $155M project, Kama hupendi nyamaza.


View: https://x.com/SuleimanShahbal/status/1632766463097417736

Naona watanzania mnaingizwa kwenye mfumo na siasa fake za Kunyaland hawa watu sio wa kuwaamini ni waongo kuanzia wanasiasa wao mpaka hawa slum dwellers wa kawaida

Angalia nyumba ambazo wanaodanganya zina 6500 units na hii ni render tu uhalisia ni a quarter of this, watasema phases
20250322_064546.jpg


Then angalia estate kubwa zaidi EA na wenyewe huwa wanasema Africa ina less than 5k units, ukiwa muongo uwe na kumbukumbu

Screenshot_20250322-064449.jpg
images (21).jpeg
 
naona unaongeza 3m usd ili ujaze ioneke nyingi au sio na most of ur projects kuna wizi wa kufa mtu 😂😂😂😂😂 project ya 2b ksh si ajabu wanasema 3b huku 1b inaenda kwa wenye matumbo yasioshiba alaf nyinyi wajinga munakaa kushangilia
Anapachika tu figure hakuna source yoyote ya maana anaongeza tu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom