Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
na bado hata hiyo hela haipo project nyingi ziko on paperPole kwako Affordable housing project cost is valued at $8B with government contributing $3.8B.
Kumbe LAPSSET cost is now $30B, thanks from correction 😂😂View attachment 3278904
project zenu zinachukua miaka mingapi vile
Nenda ukaoge. Mtu mzima Kama wewe unaogopa maji?
nna bado imechukua zaid ya miaka 40 na bado hata haijakamilikaKumbe LAPSSET cost is now $30B, thanks from correction 😂😂
Picha zangu unazo,weka picha mojawapo ambayo sijaoga then niweke yako uliyooga,tuzilinganisheNenda ukaoge. Mtu mzima Kama wewe unaogopa maji?
Nionyeshe yenye iko on paper. Ama nianze kuzipost tena?na bado hata hiyo hela haipo project nyingi ziko on paper
Bye bye everyone 👋 👋 👋 👋
Watchman Nicxie jamaa karudi tena bhn, ila sasa kaja kwa style nyingine 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3278230View attachment 3278222
View attachment 3278231
My take: Makenya yameumia mpaka yameshindwa japo kukoment 🖕🖕🖕🖕🖕🖕
Tushangae basi zenye tunawezaunda Kenya? Akili yako ni mzuri kweli?
Nikupatie speaker upige nayo nduru?nna bado imechukua zaid ya miaka 40 na bado hata haijakamilika
sasa umeamini kuwa tanzania si giant kuliko nyinyi. kama project moja ya gas inaweza beba dhamani ya miradi yote ya LAPPSET ikiwamo bandari, airports, railway na the like . tukiweka sgr mtwara songea, mchuchuma project , sgr dar-mwanza si tunaweza nunua kenya nzima mpaka hela ya posa kwa kia mwanamke wa kikenya tukapataKumbe LAPSSET cost is now $30B, thanks from correction 😂😂
mwaiofhawaii ebu weka zile picha za huyu omba omba zile zenye anakuanga mchafu. Jamaa hataki kukubali kwamba haogangi 😂😂😂Picha zangu unazo,weka picha mojawapo ambayo sijaoga then niweke yako uliyooga,tuzilinganishe
Yes, nimeamini Tanzania sio Giant kuliko Kenya. Case closed😂😂😂sasa umeamini kuwa tanzania si giant kuliko nyinyi
nipige nduru wakati hakuna kilichokamilika ? 40 years hata bandari ya LAMU imeshindwa kuvutia meli inazidiwa na mtwara port kwa meli zinazoingiaNikupatie speaker upige nayo nduru?
haya sema shikamoo tanzaniaYes, nimeamini Tanzania sio Giant kuliko Kenya. Case closed😂😂😂
Ebu tuonyeshe progress ya hiyo project, ama unaongelea ndoto?😂😂🤣🤣kama project moja ya gas inaweza beba dhamani ya miradi yote ya LAPPSET ikiwamo bandari, airports, railway na the like . tukiweka sgr mtwara songea, mchuchuma project , sgr dar-mwanza si tunaweza nunua kenya nzima mpaka hela ya posa kwa kia mwanamke wa kikenya tukapata
Ushasema Tanzania sio giant kuliko Kenya. Sasa mbona nikupinge tena? Umesema tu mwenyewe bila kulazimishwa😂😂😂haya sema shikamoo tanzania
mwaiofhawaii ebu weka zile picha za huyu omba omba zile zenye anakuanga mchafu. Jamaa hataki kukubali kwamba haogangi 😂😂😂
Nionyeshe yenye iko on paper. Ama nianze kuzipost tena?
I want you to do maths tuone imefika ngapi.
Starehe Point, Cost is $155M.
Progress.
View: https://x.com/gulfcap_re/status/1903053902204866697
Wewe tulia ukule doze.hii ni pamoja na ile 3.8bil ya ruto?
Penda maji wewe chokoraa.View attachment 3278913so hapo ndio umeoga huko kundudweller,iko kibabu ulichokitag hapo kimekua na adabu siku hizi View attachment 3278914