Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Tunapost kama sarcasm ili kuwa enjoy nyie wapenda magorofa maskiniKama si maendeleo why do you then post those three blue towers with the caption 'kama New York mwanangu'?
Kazi na Utu, Tunasonga Mbele, wazungu weusi toka Kenya bado wanabishana na Ruto
View: https://youtu.be/x_KIdLlIqvs?si=A178LKOujKXxoPj8
Sarcasm indeed. Tunapenda maghorofa coz tunazo. Nyinyi pia pendeni uswazi zenu coz that's all you have down thereTunapost kama sarcasm ili kuwa enjoy nyie wapenda magorofa maskini
Unajua maana ya ‘which every…’ lakini?Housing Levy is a levy which every Kenyan contributes to.
Project nzima inaitwa Affordable Housing. Sasa tafuta thamani yake ulete huku.wewe unatakuwa una matatizo makubwa ya akili! Unajua one billion dollar lakini? Acheni uongo uongo. Tupe jina la project nzima tutafute thamani yake.
Hii ni Amber Resort Zanzibar ni over $1.5B ona jinsi ilivyo na fananisha na vigorofa vyenu uchwarwa mnadai eti ni $1.1B. Kuna Hospital mpaka airport.
View attachment 3279233
View attachment 3279235
View attachment 3279237
Amba resort alone is more expensive than all of your so called affordable housing projects. 🤣🤣🤣Project nzima inaitwa Affordable Housing. Sasa tafuta thamani yake ulete huku.
Amba Resort hata haiezifika LV Marina Ya Kisumu.Amba resort alone is more expensive than all of your so called affordable housing projects. 🤣🤣🤣
Nyinyi endeleeni kuumizwa na Affordable Housing😂😂😂naona unaongeza 3m usd ili ujaze ioneke nyingi au sio na most of ur projects kuna wizi wa kufa mtu 😂😂😂😂😂 project ya 2b ksh si ajabu wanasema 3b huku 1b inaenda kwa wenye matumbo yasioshiba alaf nyinyi wajinga munakaa kushangilia
Nakatwa Pesa every month for affordable housing. Najua hampendi kusikia ati affordable housing inawaumiza because value yake is bigger than the value of currently ongoing projects in Tanzania.Huyo mkenya wa kukatwa hela yuko wapi? Kama hawa gikuyu ambao mnasema ndio matajiri Africa wanauana huku sababu ya chukula cha mifugo msaada wa China? Mliowadhulumu northerners 😅😅😅😅View attachment 3279248
Unaumia ukiwa wapi?Ko tayari mmejenga nyumba 370k? 😂😂😂😂 Hata 5k bado labda miaka 60
Usiumie sana. Hapa umeona tu gorofa moja?Ninyi ni wapumbavu kweli hilo ghorofa 1 la floor chini ya 12 halina uwezo wa kubeba units zaidi ya 100 hata zote zikiwa bedsitter, zipo ghorofa ngapi hapo za units 14k? Yanahitajika ghorofa 140 hapo kuaccommodate that figure wakati project nzima hata nusu ya ghorofa 140 hamna. 😂😂
Even doing a simple research inakushinda. Watoto wako pia ni wajinga hivi ama?Mpumbavu kweli wewe chizi 🤔 hizi figures unazichomoa tu matakoni
Unataka kulinganisha two storied building na gorofa za 25 floors? Akili zako ziko sawa kweli?Naona watanzania mnaingizwa kwenye mfumo na siasa fake za Kunyaland hawa watu sio wa kuwaamini ni waongo kuanzia wanasiasa wao mpaka hawa slum dwellers wa kawaida
Angalia nyumba ambazo wanaodanganya zina 6500 units na hii ni render tu uhalisia ni a quarter of this, watasema phases
View attachment 3279261
Then angalia estate kubwa zaidi EA na wenyewe huwa wanasema Africa ina less than 5k units, ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
View attachment 3279262View attachment 3279263
Ebu niambie ni source gani unataka nikuonyeshe? It’s up to you to check if I’m saying the truth ama uongo. Sio kulialia kama mtoto mdogo.Anapachika tu figure hakuna source yoyote ya maana anaongeza tu 😂😂😂