Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

alaf hajui kama museven kasomeshwa na kapewa uongozi na tanzania, haijui tanzania vzr huyo
Wanajua yote hayo, ila hawana jinsi lazima wajipe matumaini ili maisha yaendelee, wakipoteza Uganda hawana nchi nyingine ya kuegemea
 
Msikilize au soma articles za Dr.Ndii anavyoizungumzia Tanzania, kumbuka huyu jamaa mwaka huu ametajwa kuwa nafasi ya 26 duniani miongoni mwa wasomi economists bora zaidi, au msikilize Baraka Mwiluka, au PLO ndiyo watakupa picha ya wakenya wanavyoitaja Tanzania, achana na vichaa wa humu JF.
Sasa unajua Ndii na sijui vice president wenu
 
My 12year old Nephew keeps reminding me that am going back in time...Hahahaha ati border ya Namanga ni Time machine.


Tanzania wacha tu....huwa staki hata kucomment maisha ya vijiji vya Tanzania....one word........PATHETIC
 
**** la jiwe....ata mpewe izo nchi zotehamtaifikia kenya
Kwa sifa za kijinga sina uhakika kama tutawafikia, kwetu muhimu zaidi ni kupunguza umasikini, kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana, kuwa na chakula cha kutosha kwa wananchi, kuwapatia wananchi makazi bora, kuwa na amani, umoja na amani, hivyo ndivyo vipimo vya maendeleo kwetu, vyote hivi tupo mbele tena kwa mbali sana
 
Kwa sifa za kijinga sina uhakika kama tutawafikia, kwetu muhimu zaidi ni kupunguza umasikini, kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana, kuwa na chakula cha kutosha kwa wananchi, kuwapatia wananchi makazi bora, kuwa na amani, umoja na amani, hivyo ndivyo vipimo vya maendeleo kwetu, vyote hivi tupo mbele tena kwa mbali sana
Wao wanajisifia maua ya wazungu.
 
Ndiyo ufahamu kwamba nimekuzidi kwa mbali sana katika kujua mambo ya dunia, na ulivyo mjinga unajisifia kwa kutojua mambo, kwahiyo unalazimika kunisikiliza mimi mwalimu wako
Unajua vice president wa Somalia,chad,Liberia??????....but unajua wa Kenya..... Yani hadi unajua Governor wa turkana
 
Mimi nataka kufika Mbagala na manzese! Get that into your thick skull halafu nichukue picha kadhaa niweke JF nzuri na mbaya.
Tena utakuwa umesaidia sana,tukiwaambia sisi hatuna slam kama kibela mnabisha na mapovu juu,ukuje ujionee kwa macho uthibitishie wakenya kwa picha.
 
Unajua vice president wa Somalia,chad,Liberia??????....but unajua wa Kenya..... Yani hadi unajua Governor wa turkana
Ni muhimu kumjua mzee,thays why ukajidai mkenya mbele ya russia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].unasifu uhuru na kuwa na mob followers in tweeter kuliko putin eti.uhuru ni kuweza zaidi.

Kuwa mkenya ni bahati mbaya zaidi duniani.
 
Ni muhimu kumjua mzee,thays why ukajidai mkenya mbele ya russia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].unasifu uhuru na kuwa na mob followers in tweeter kuliko putin eti.uhuru ni kuweza zaidi.

Kuwa mkenya ni bahati mbaya zaidi duniani.


ukipewa chance ya kuwa mkenya huwezi kataa ....hata kama utakaa.We are special bana
 
Back
Top Bottom