COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
oneni upperhill sasa
comedy cheka sasahii ni mziki au comedy😀😀😀😀
noma msee..ati back to 90's ..Will be going back to the 90s yani naelekea Tz wadau.
Kama utakumbuka kuna mkutano mkuu wa CCM ulifanyika Dodoma miaka kadhaa iliyopita, walikaribisha vyama rafiki, muwakilishi toka DRC katika hotuba yake alisema kwamba wakongo wanaichukulia Tanzania kama mbinguni.Rwanda na Burundi ndugu usiwasahau. Wasomali na Waethipia Tanzania ni nchi ya kimbilio lao.
Halafu kwa uzuri sana magazeti yetu hayana time na nchi zingine. Ukipitia magazeti ya TZ mara zote yanaongelea mambo yetu. Ni kwa uchache sana utakuta wanaongelea nchi zingine.Kama utakumbuka kuna mkutano mkuu wa CCM ulifanyika Dodoma miaka kadhaa iliyopita, walikaribisha vyama rafiki, muwakilishi toka DRC katika hotuba yake alisema kwamba wakongo wanaichukulia Tanzania kama mbinguni.
Hapa JF ni sehemu ya kupigana vijembe kwahiyo kila mtu anavutia kwake, lakini ukipitia kwenye magazeti ya majirani zetu ambako ni wao wenyewe wanajaribu kutoa maoni kuhusu Tanzania, huko ndiyo utaona ukweli jinsi wanavyoizungumzia Tanzania na Magufuli kwa ujumla
museveni alisema he has done nothing to tz and the pipeline would be the best consolation.....uganda tumeoa..ata nikienda uganda ama msee wa uganda akam huku bora ana id ni sawa..hawa tu ni kama wakenya wakikuja kenya ..Mbona wakati wa kuchaguliwa Amina waliwapiga chini. Bomba tukufu la mafuta wamewapiga dobo.
Kwikwikwikwikwi. Kuoa kwako Uganda hakukupi uhalali wa kuwaona waganda wapo upande wako.museveni alisema he has done nothing to tz and the pipeline would be the best consolation.....uganda tumeoa..ata nikienda uganda ama msee wa uganda akam huku bora ana id ni sawa..hawa tu ni kama wakenya wakikuja kenya ..
My 12year old Nephew keeps reminding me that am going back in time...Hahahaha ati border ya Namanga ni Time machine.noma msee..ati back to 90's ..
Msikilize au soma articles za Dr.Ndii anavyoizungumzia Tanzania, kumbuka huyu jamaa mwaka huu ametajwa kuwa nafasi ya 26 duniani miongoni mwa wasomi economists bora zaidi, au msikilize Baraka Mwiluka, au PLO ndiyo watakupa picha ya wakenya wanavyoitaja Tanzania, achana na vichaa wa humu JF.Halafu kwa uzuri sana magazeti yetu hayana time na nchi zingine. Ukipitia magazeti ya TZ mara zote yanaongelea mambo yetu. Ni kwa uchache sana utakuta wanaongelea nchi zingine.
mbona oil pipeline hamkuichukua??😀😀😀uganda will always be by our side
EPA pia wamewapiga chini wameungana na Tanzaniambona oil pipeline hamkuichukua??😀😀😀
alaf hajui kama museven kasomeshwa na kapewa uongozi na tanzania, haijui tanzania vzr huyoEPA pia wamewapiga chini wameungana na Tanzania