Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe baboon tangu lini mkaanza kucheza rugby? Wewe hadi vitu hufai kuongelea unapunilia hiyo midomo yako kubwa.

Alafu rank ndio winning a tournament? Mliwin tournament ya FIFA at position at 106?
Mbona kama umekasirika.? 🤣🤣

Umegoma kuleta ranks.?
 
Old money
IMG_1990.jpeg
IMG_2012.jpeg
IMG_2005.jpeg
IMG_1992.jpeg
IMG_1995.jpeg
IMG_1993.jpeg
IMG_1996.jpeg
IMG_1994.jpeg
IMG_2002.jpeg
IMG_1999.jpeg
IMG_1998.jpeg
IMG_1997.jpeg
IMG_2007.jpeg
IMG_2006.jpeg
IMG_2008.jpeg
IMG_2009.jpeg
IMG_2010.jpeg
IMG_2011.jpeg
IMG_2013.jpeg
 
simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuru😂😂

haiwezi doda kwa sasa kwasababu mipango mikakti iliandaliwa vzr kwa kuondoa madalali katikati ya biashara na kuufanya biashara ya moja kwa moja kutoka kwa wakulima, hapo biashara itadoda vp wakat hao hao madalali ndio walikua wanakwamisha biashara 😂😂😂

yani tumesahau kabisa🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Halafu watu wakadhurumiwa korosho mpaka kesho Kuna watu bado wanadai.
 
si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? 😂😂😂😂😂

wakat mwengine nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu sana
Kwani umeambiwa ukipeleka mawese yako pale murzah oil hawatanunua? Hayo mawese wanayahitaji sana kwa sabab ndo yanayotumika kuzalisha mafuta yetu Pendwa.
Kwa hivi unavofikiria bas mpaka Leo tungekuwa tunaagiza mchele toka thailand
 
zilikua zinaozea mashambani na zingine zinaozea kwenye maghala 😂😂😂

leo tunafurahia cargo plane tunakenua na meno yote 32 bila aibu 😂😂😂😂

mageuzi ya kwanza ni kwenye sheria na katiba alaf ndio utekelezaji sasa, kwan siku hzi unaskia tanzanite inatoka kenya au india ?????

unaenda kuleta mzungu kucheza filamu ya royal tour alaf watalii wanaokuja ni wachache kuliko wanaotoka tanzania na africa 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

hvi yule mzungu alichukua bei gani aisee?


alaf tulikua tumelala tunasubiri rehma za MUNGU 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

View: https://www.instagram.com/p/C_xzeM_NL8A/?igsh=a2twYTI2d2gwdHhj

Kama mbaazi tu kipindi cha magu zilishuka mpaka tsh 200/kg na bado wanunuzi walikosekana.
Vilevile kwenye soya na kadhalika ,
Leo hii maharage yasafirishwa mpaka India huko na bei imepanda toka 1200tsh songea mpaka 2000 na Huwa inafika mpaka 3000 unaanzaje kusema magu aliwezesha kilimo.
Horticulture exports asilimia kubwa zinaenda ulaya na India by almost a half, sasa lini air Tanzania imepeleka mzigo ulaya ukiwa hata kubali cha kutua hakipo?
 
Jibu swali ,umeona Chikichi kwenye list? Kama hujaona ujue ni masimulizi ya propaganda ndio maana huwezi weka namba.

Pili sheria zipi zilizobadilishwa kuondoa madalali? Nitajie? Maaa nakusubiria ujae kwenye mfumo Ili na Mimi nikuoneshe kilichoondoa madalali.

Mwisho una uhakika sheria za Madini hazijaguswa? Nikuoneshe zilivyoguswa?
Kuna mabadiliko ya mpaka oktoba 2024 ila wamekaririshwa kuwa magu ndo alifanya mabadiliko.
Kuhusu mazao wanazungumzia eti kulikuwa na walanguzi kwahiyo ikabid jwtz wafanye manunuzi walipopeleka sokoni wakajikuta wanakosa pa kuuzia korosho nyingi ikaharibikia maghalani.
Kimechofanya mazao yapande ni unahisi wa kupata leseni za kuexport na minada ya mazao.
Kipindi cha nyuma wanunuzi walikuwa wanaweka tawi dar na kuwapa mawinga wakawanunulie mazao kukawa na wizi mkubwa sana na kwa sabab mawinga nao walikuwa wanataka faida wakawa wanawanyonya wakulima . Sasa hivi manunuzi ananunulia ghalani Tena akiwa kwa idadi anayoitaka akiwa na bei nzuri.
Maghala yamevutia wanunuzi wengi kukimbilia Tanzania kwa sabab mnunuzi anakuwa na uhakika wa mzigo kuliko kutumia mawinga kama nchi zinazotuzunguka
 
Sasa watalii wa ndani wanakuwaje visitors? 😂 😂 Ndio maana huwa nasema humu hizi data za tourism za Kenya na Tz huwa hazimake sense. There's something that's never been clear to me.
We've been receiving more visitors by far alafu wanasema wanapata pesa kutushinda.
JKIA alone handles over 8M passengers, all their airports combined hazifiki hata 5M - bado waseme wanapata more than us.
There is a lot of cooking and opacity in your data. Sasa Kenya tunaweka visitors, nyinyi mnajiweka wenyewe 😂😂. Doesn't even make sense. How do you even determine you were a visitor in your own country and the other person was not?
Zetu zinatolewa na UNWTO zenu zinatolewa na a wheelbarrow party secretary in charge of brainwashing paupers

20250303_062825.jpg
20250303_062824.jpg
 
Back
Top Bottom