ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
wenye akili zao wamekula pesa tayar😂😂Alafu baboon anamcongratulate for designing it😂😂
View: https://x.com/nationafrica/status/1896148738680435055?s=46
wenye akili zao wamekula pesa tayar😂😂Alafu baboon anamcongratulate for designing it😂😂
Sasa kuna tofauti gani kati ya Mwanza na Migori townNgoja nikusogezee karibu . Mwanza tamu bhana. 👇🏾View attachment 3254818View attachment 3254819View attachment 3254821View attachment 3254822mansions zinajengwa juu za rocks. 👇🏾View attachment 3254823this is around 1000+ km, very far from Dar es Salaam.
Inaitwa lack of exposure. 🤣Alafu baboon anamcongratulate for designing it😂😂
unawazimu wa kichwa wewe 😂😂😂Sasa kuna tofauti gani kati ya Mwanza na Migori town
View attachment 3255810
Exposure ipi.? Ushawahi kufika US wewe? Ukitoa moshi ulikooenda ni wapi pengine ulienda.? 🤣🤣🤣 yani kufika moshi tayari ushajiona kana kwamba umetembea US. 🤣🤣🤣 jamaa jinga hili.Inaitwa lack of exposure. 🤣
Mwanza ni modern kwa lipi? Mwanza ni size ya Kisii. Mwanza has slums.tofaut ya mwanza na mombasa ni
mwanza ni modern city while mombasa is just old fucking city, mwanza huwez kuta slums za ovyo zimezagaa while mombasa imezunguka na slum mpaka CBD, mwanza hakuna nyumba za tope while mombasa over 70% majengo mengi ni ya tope, mwanza ina modern bus terminals and markets za kutosha, mwanza imepangika na ni second cleanest city in tanzania while mombasa is among worse cities on planet ( uchafu na kunanuka all over)
mwanza ina modern paved streets while mombasa mpaka uwashe torch mchana ndio utazipata 😂😂😂😂😂
Acha kujitia uchizi. Mwanza iko na facilities zenye hata hapo Naipori mnaishia kuziota tu.Mwanza ni modern kwa lipi? Mwanza ni size ya Kisii. Mwanza has slums.
Have you ever Been to stone town Zanzibar?Mombasa old town is a preserved ancient area of Mombasa and it's one of the most beautiful places in East Africa. Hawa wajinga wakiona picha kuukuu za juu wanadhani ni mahali pa ovyo. On ground huwezi pata mahali pazuri kama Old Town Bongolala. Barabara zote paved, nyumba zote historical.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe hata hujui Mwanza.Acha kujitia uchizi. Mwanza iko na facilities zenye hata hapo Naipori mnaishia kuziota tu.
Unaeza leta hizo slums za Mwanza..? 🤣
Unahangaika sana kijana. Tanzania tupo juu sana. Nyie suala la chakula tu bado linawapiga chenga.
Bwege, nimeishi Mwanza miaka mitatu in a row. Naijua Mwanza vizuri sana kama ninavyoijua Dar na Tanga my how town. 🤣🤣 hizo slums ziko wapi.? Hizo nyumba zimejengwa juu ya mawe kwenye maporomoko, ni slums hizo.? 🤣🤣🤣 au umeamua ku justify na hako ka article.?
Kundustan bila make up mambo hayaendi,huwezi kuta mkundustan kapost picha humu bila make uuHii ni mombasa mpya au ni filter mpya.? 🤣🤣🤣
mwambie akuonyeshe soko modern kama la Mwanza au bus terminal kama ya Mwanza!Acha kujitia uchizi. Mwanza iko na facilities zenye hata hapo Naipori mnaishia kuziota tu.
Unaeza leta hizo slums za Mwanza..? 🤣
Are you Bertin?Have you ever Been to stone town Zanzibar?
Nilienda Mombasa. Hizo eneo hutembelei bila kuwa na guide, wizi, uporaji, pick Pocketing ndo zimajaa huko
From what I saw, kuna too much poverty in Mombasa kuliko hata Nairobi
Wewe onyesha Port Modern kama ya Mombasa ama Highways kama za Mombasa na highrises kama za Mombasa.mwambie akuonyeshe soko modern kama la Mwanza au bus terminal kama ya Mwanza!