Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mm nishatembea kenya nzima sehemu sijafika kenya ni huko turkana na lamu sasa sijui utanidanganya nn ww kunguni😂
Lamu nilifika 2017,kuna cousin wangu ameolewa huko,aisee,kuna umaskini wa kutisha,ule mchele wanaokula watu wa lamu ni huruma,binafsi nilikula ili kutomlate down my cousin,kenya kuna umasikini aisee!
 
watu wamejenga tegeta 🙌🏻🙌🏻
IMG_4897.jpeg
 
Mmekuwa visited na watu 5.36M na international total airport passengers (both leaving and entering and both international and local) hawafiki 5M, kwani hao tourists walikuwa wanaingilia wapi.🤣🤣 Hii ndio shita ya kutumiwa Twitter kama source of information.
Wameanza kupika data 😭
 
kwann idadi ya watalii wa nje imezidiwa sana namna hio kuna shida gani???
Kwa sababu Watanzania mama ameimarisha kipato Cha Watanzania

Kwa sababu Watanzania Sasa wanaelewa kwamba Utalii sio kusubiria wageni.

Mwisho African Countries ndio zimechangia watalii wengi zaidi kwenye namba hiyo ya Watalii wa Nje.
 
Kwa sababu Watanzania mama ameimarisha kipato Cha Watanzania

Kwa sababu Watanzania Sasa wanaelewa kwamba Utalii sio kusubiria wageni.

Mwisho African Countries ndio zimechangia watalii wengi zaidi kwenye namba hiyo ya Watalii wa Nje.
kipato gani watu wanajinyonga kwa ugumu wa maisha huko morogoro

hao watalii wa nje ya africa wanenda wapi?? hua tunatangaza utalii kwa billions of money kwa dunia gani ?? 😂😂😂 au dunia hii bara pekee ni africa vp kuhusu mabara mengine yenye watu wanaojua maana ya utalii na wenye kujua kutumia pesa kisawasawa
 
kipato gani watu wanajinyonga kwa ugumu wa maisha huko morogoro

hao watalii wa nje ya africa wanenda wapi?? hua tunatangaza utalii kwa billions of money kwa dunia gani ?? 😂😂😂 au dunia hii bara pekee ni africa vp kuhusu mabara mengine yenye watu wanaojua maana ya utalii na wenye kujua kutumia pesa kisawasawa
Ni lini watu walikuwa hawajinyongi?

Kipato kimeongezeka kutoka hapa 👇 👇

View: https://x.com/zittokabwe/status/1896114062439616572?t=ogqh6mQtl-ibmzBSwleA6Q&s=19

Hakuna kitu mama amegusa kimebuma ,yaani nyie hadi msalimu amri 😂 😂 👇👇

View: https://x.com/zittokabwe/status/1896110605058101278?t=Ee2UW3hIfqH7pJBZ0R6w0g&s=19
 
Back
Top Bottom