Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu anafananisha huu uchafu na oldtown unaexpect nini. 😂
img_5114-jpeg.3254943
Kumbe uliamua kujifanya kama haupo nilipopost hizi picha kwa uoga tu.? 👇🏾
IMG_5079.jpeg
🤣🤣🤣 je ni kweli unaniogopa.?
 
Kumbe uliamua kujifanya kama haupo nilipopost hizi picha kwa uoga tu.? 👇🏾View attachment 3255677🤣🤣🤣 je ni kweli unaniogopa.?
Ataogopa hicho kidevu bila ndevu ama hizo nyororo feki ama huo ufupi wa nyundo? Kuna uwezekano maisha yako umekuwa ukitamanani kuogopwa sana maanake huna chochote ya kuogopwa.
meddy_clever_161487646611960-jpg.3235492
 
Ataogopa hicho kidevu bila ndevu ama hizo nyororo feki ama huo ufupi wa nyundo? Kuna uwezekano maisha yako umekuwa ukitamanani kuogopwa sana maanake huna chochote ya kuogopwa.
meddy_clever_161487646611960-jpg.3235492
Seems unatamani kunijua, heb kwanza nikuone sura yako. Naanza kuzielewa hisia zako. Njoo inbox nikuone hopeful takuonea huruma. 😆
 
This is Staples Arena in Los Angeles you idiot. Home to the LA Lakers. Wewe utapata wapi ujuzi wa kudesign? Hata choo cha shimo unaweza design wewe kilaza?
Ungeacha tu anijibu, Nilikuwa nataka kumshika. Watanzania huwa wanapenda fake life sana, Huyo sasa alikuwa anajaribu kudanganyana ati amedesign hiyo arena.
 
Mombasa inafanya hio Mwanza yako ifanane kijiji. Hii pia utalia ni filters lakini wewe ukipost Mwanza na filters unataka tukusifu.

No photo description available.
tofaut ya mwanza na mombasa ni

mwanza ni modern city while mombasa is just old fucking city, mwanza huwez kuta slums za ovyo zimezagaa while mombasa imezunguka na slum mpaka CBD, mwanza hakuna nyumba za tope while mombasa over 70% majengo mengi ni ya tope, mwanza ina modern bus terminals and markets za kutosha, mwanza imepangika na ni second cleanest city in tanzania while mombasa is among worse cities on planet ( uchafu na kunanuka all over)

mwanza ina modern paved streets while mombasa mpaka uwashe torch mchana ndio utazipata 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom