ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kakwambia hivo? Amemshirikisha Bien ila verse ya Bien katunga mwenyewe. Hata Kiswahili alichotumia ni cha Kenya otherwise hiyo verse ingetungwa na Mtanzaniaupumbavu ni pale kutojua single ya Nairobi Marioo katunga na kumshirikisha Bien Marioo hana miaka minne kwenye game na album yake na subscribers wengi na viewers zaidi ya milioni 300!
😂😂Ebu quote hiyo post.
Right now Bien is their yard stick, kila Tanzanian Musician wants to compete with Bien kwa live shows😂😂😂
View: https://x.com/Rydx_017/status/1895811545973858684
Kakwambia hivo? Amemshirikisha Bien ila verse ya Bien katunga mwenyewe. Hata Kiswahili alichotumia ni cha Kenya otherwise hiyo verse ingetungwa na Mtanzania
"'akidondosa kishenzi"
''Habari gani'
''mbona uko lonely''
''jina ni gani''
Hizo vocabulary za Kenya........kama unaelewa culture ya hizi nchi mbili utajua hiyo verse imetungwa na Mkenya. Wacha upumbavu.
Enjoy huu wimbo wa Kenya
View: https://www.youtube.com/watch?v=epBN_hovPDI
Ulishaambiwa uko na akili ndogo Kama ya mende, tafuta mende wenzako ujadiliane nao.Kwahiyo hapo ni msanii gani wa kitanzania ametaka kushindana na Bien.?
Mbona unanikimbia.? Hapo kuna msanii gani kasema anataka battle na Bien.? 😆Ulishaambiwa uko na akili ndogo Kama ya mende, tafuta mende wenzako ujadiliane nao.
Hakuna anayeshindana na Bien kwa live show hapo Bongo lala.Mbona unanikimbia.? Hapo kuna msanii gani kasema anataka battle na Bien.? 😆
Hakuna anayeshindana na Bien kwa live show hapo Bongo lala.
Enjoy Bien.
View: https://x.com/amerix/status/1810375108822970877
Wewe unajua nini kuhusu mziki matako wewe.? Au unajua muziki wa bongo ni hao kina Diamond tu. Wadau wametoa offer ya $200k Bien akimshinda mbosso atalipwa mara mbili. Enjoy. 👇🏾
View: https://youtu.be/8_uusYTkeMQ?si=BQeriFv5cHbh4-Ou.
Your biggest producer amesema no Tanzanian artist can compete with Bien, sasa wewe baboon wa Congo forest unajua nini?
View: https://x.com/Dr_AustinOmondi/status/1895327637721256047