Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mjinga keshasema hivyo juu huko 🤣🤣🤣🤣🤣
Uwanja wa amani ndio ulianza 👇🏾
IMG_5111.jpeg
IMG_5109.jpeg
 
nimecheka sana alooo😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻

View: https://x.com/advocate_jebra/status/1895477225966977050?s=46

What the ***?

Ukienda China kwenyewe hawanaga huu ujinga kwa Xi.

Utachukuliwa kama unaleta chokochoko za kumharibia kazi.

Wanaoitumia ni wanyonge ambao wanaona kudhulumiwa kama yule mzee aliyebandika nyumba nzima picha za Xi ili wasibomoe kwa dhuluma.

Uchawa unaenda kuwa downfall ya hili taifa.

Now Great lakes Region imeanza kuchangamka kuna nchi wanawaza event za kusifia.

Inamaana hata Wanyarwanda ambao wanatakiwa kuangaliwa kule mpakani wakiamua kua machawa "MAMA MAMA WATAPEWA NAFASI"


CDF alisema kuna raia wa kigeni wamejipenyeza nafasi za juu bado upo unatukuza uchawa.
 
Please guys huu uchawa tuukemee naona muelekeo mbaya kabisa.

Mama yenu anayeza kupata kura na upendo bila hata uchawa wa kelele. Ikiwa kila anacholenga anakitimiza.

Mama amezungukwa na Controversy nyingi za uuzaji wa ardhi na rasmali na uwekezaji wa kuficha ficha mpaka unatia shaka.

Nidhamu ipo chini ya utendaji, vitu vipo slow.

Kama mna nia ya kumfanya mama apendwe telekeza vitu vyote kikamilifu.

Sio unafungua alafu unaingia mitini kuongeza kero. BRT ujenzi kusua sua huku jijini na barabara zimetifuliwa ni mambo gani haya?

Mkakati wa nishati safi ni mzuri naupongeza. Ila hampo serious kuwaza tozo kwenye nishati safi itakayofanya watu waditch hiyo nishati warudi kule kule.

Punguzia kodi kwenye gari za CNG muone zitajaa, Gesi ni yetu serikali badala ya kutolea mimacho tozo, si iangalie volume ya gesi wanayouza.

Hamjifunzi nchi za Uarabuni na Mafuta yao ikiwa wanauza kwao wenyewe mafuta cheap.

Narudia PUNGUZA UCHAWA, ONGEZEA KAZI NA UTEKELEZAJI.

ONDOA MACHAWA GOVERNMENT WEKA WATAALAMU.
 
Back
Top Bottom