ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
alieipanua tanga port anajulikana na alifanya hvo kwa sababu maalumu 😂😂
wala hatuhitaji ramli kwenye hili
Uwanja wa amani ndio ulianza 👇🏾Kuna mjinga keshasema hivyo juu huko 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama haijafanikiwa hitungi ya Ruzuku imetoka wapi?
View: https://www.instagram.com/p/DGoIqodsmEd/?igsh=MzdnZ3duNHJ0OWYz
Ni nani Sasa kama sio Samia? 👇alieipanua tanga port anajulikana na alifanya hvo kwa sababu maalumu 😂😂
wala hatuhitaji ramli kwenye hili
Lengo ni 2034 by 80% wewe unaongea ujinga 😁😁tuoneshe kua imefanikiwa kuondoa mkaa na kuni mjini tu kwanza achilia vijijini 😂😂
Ni nani Sasa kama sio Samia? 👇
View: https://www.instagram.com/reel/DGoQusPMgqp/?igsh=MWRtaWEwOXU0dnBw
Alafu hii wanaita dreamhouses.😂😂Ngara Nairobi. Tanzanians normally count this place as a slum
View attachment 3253420
bila kupunguza bei ya umeme na gas hata tupewe 100 yrs to come huku tunasubiri miujiza ya manabii na mitume 😂😂😂😂Lengo ni 2034 by 80% wewe unaongea ujinga 😁😁
Nimekwambia uko out of touch bwana hater
Hii ni picha ya mwaka gani.?
Ruzuku ipo Ili kupunguza bei ya nini? Hater bana 😁😁bila kupunguza bei ya umeme na gas hata tupewe 100 yrs to come huku tunasubiri miujiza ya manabii na mitume 😂😂😂😂
Ulitaka Nchi ilie? 😁😁😂😂😂😂😂
camera 40 million 514 na nchi iko kimya kabisa
Umesema tu Kasarani name written using seats wengine washawaka moto eti ooh, unasema this is the first in East Africa eti ooh we already did it in Amaan Stadium. Hawa majamaa inferiority complex itawaua. 😂 😂
Still ni wrong, inaeleweka machawa wapo kisiasa.Hao ni wafanyakazi wa wa Huaxin cement, usipende kuingia mkenge wa hao wanaharakati.
Siungi mkono uchawa kaka na sijawahi uunga na ndio maana choisi variabo yupo ignored kwenye IDs zake zote. 😂😂😂Still ni wrong, inaeleweka machawa wapo kisiasa.
It's not good na foreigner kuwa kisiasa huku na bado wanaeleweka wanasumbua.