Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ha ha ha maybe you should say billionaires (yes in $). But millionaires (in $) you are chit chatting with them in this forum.
NB: I ain't one.
Is that so? Frankly, how many dollar billionaires of African descent do you reckon there are in Tanzania? Perhaps including $millionaires as well..
 

Leo kabla ya mechi ya Simba kuna muda nikaweka ligi ya Kenya kama dk 3 hiviii kati ya shabane Vs kaliobange, aiseeee uchale niliokutana nao humo sio wa dunia hii, kwanza uwanja hovyo, ni ghost 👻 alafu mpira butubutu mwanzo mwisho, madogo wakauliza timu za daraja la ngapi hizi? Nikawajibu hiyo ni ligi kuu Kenya, wakauliza tena kwa pamoja "kwani Kenya hawapendi mpira? Mbona wanacheza hivi alafu uwanja mbovu sn?, Nikawajibu bila kupepesa kwamba Kenya ni taifa maskini ndiyo mana ligi yao iko hivyo. Madogo wakaniomba nitoe na niweke Tabora Vs mashujaa.
 
What's the traffic density on that road?
I don’t keep data but I know it’s now very convenient to cruise to Ushago ..I can land in JKIA at 8 pm and no need to sleep in the city … 2 hours or less niko jikoni Ushago … traffic or not
 
Back
Top Bottom