Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Mpesa si kampuni ya Mkunya!MPESA.
Mpesa si kampuni ya Mkunya!MPESA.
Muulize kwanza kuna kampuni inaitwa Mpesa.? 🤣🤣🤣Mpesa si kampuni ya Mkunya!
Safaricom ilinunua asilimia 100 ya hisa za mpesa Kenya anadhani ndo ilinunua mpesa tanzaniaMpesa si kampuni ya Mkunya!
Endelea kuota, hio beach safari owner ni one Dutch by Bert Schoonvelde. Hio jina inakaa ya mbongo?Bongo watu wanazo hela. Units 50 muni mmoja hiv kaingiza. Na hana kelele🤣🤣View attachment 3226840View attachment 3226842View attachment 3226843View attachment 3226844
Tatizo nn haswa mbona asinunue hiyo fleet huko Ukunyani? Unajua Leopard Tours Arusha? wana fleet isiyopungua tourvans 200! Ukinionyesha tour company Ukunyani ina Landcruisers 30 nahama humu ndani!Endelea kuota, hio beach safari owner ni one Dutch by Bert Schoonvelde. Hio jina inakaa ya mbongo?
Umesahau all millionaires in Tanzania are not of Tanzanian or even african descent?
View attachment 3226882
Kwahiyo umeenda ku google owner ili upate kujifuta machozi.? 🤣🤣🤣Endelea kuota, hio beach safari owner ni one Dutch by Bert Schoonvelde. Hio jina inakaa ya mbongo?
Umesahau all millionaires in Tanzania are not of Tanzanian or even african descent?
View attachment 3226882
sasa hvi ukienda kutaka kuonganishiwa kwanza utazungushwa na pesa utatoa ya kutosha, hii ni moja ya sababu huduma zinachelewa yani urasimu ni mkubwa sana,Rushwa na hizo habari za Usimamizi ndio zinazuia watu kuweka umeme? Nachojua Mimi ni kwamba maombi huko Tanesco ni mengi kuliko uwezo wa kifedha wa Tanesco kumhurumia kila mmja.
Shida sio umeme Bali wao Kuwafikia wateja.
Watoto wamjini wanakwambia lazima uweke mali mbele ukitaka chochote kutoka ofisi za umma. Dah inakwaza sana. Bila jivyo utazungumshwa mpaka ujue hujui. 🤣🤣sasa hvi ukienda kutaka kuonganishiwa kwanza utazungushwa na pesa utatoa ya kutosha, hii ni moja ya sababu huduma zinachelewa yani urasimu ni mkubwa sana,
pili uingozi madhubuti ndio uta control na kuzuia machafu yote ndani ya shirika la uma, hvi ww ushawa kwenda kuomba kuletewa umeme? 😂😂😂😂
Stori za kutungasasa hvi ukienda kutaka kuonganishiwa kwanza utazungushwa na pesa utatoa ya kutosha, hii ni moja ya sababu huduma zinachelewa yani urasimu ni mkubwa sana,
pili uingozi madhubuti ndio uta control na kuzuia machafu yote ndani ya shirika la uma, hvi ww ushawa kwenda kuomba kuletewa umeme? 😂😂😂😂
hehehe shida yetu sisi hatupendi ukweli😂Stori za kutunga
Ukweli gani? Hizo Huduma za Tanesco unatumia mwenyewe? Kwanza Tanesco wanafanya Kampeni ya kuhimiza watu waweke umeme wewe unaleta porojo za kijinga.hehehe shida yetu sisi hatupendi ukweli😂
Jirani hajiwezi mwenyewe kampa mchina ajenge chake ni ardhi 🤣🤣🤣🤣🤣 nimefurahi saaaana. Hii inaitwa kata ngebe. Dodoma inakula stadium. Wajinga wanazurura tu na kelele. Watakufa this year.