Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Endelea kuota, hio beach safari owner ni one Dutch by Bert Schoonvelde. Hio jina inakaa ya mbongo?
Umesahau all millionaires in Tanzania are not of Tanzanian or even african descent?
View attachment 3226882
Ha ha ha maybe you should say billionaires (yes in $). But millionaires (in $) you are chit chatting with them in this forum.
NB: I ain't one.
 
juzi tu hapa biteko anakwambia tanesco huduma kwa wateja ni mbovu tena worse mm ni nani nishindwe kusema ukweli 😂😂
Sijajua alikuwa anamaanisha nini na Wala sio mara ya kwanza Kuna kipindi alovunja hiyo Idada ila Bado analia Lia.

Labda tuambiane tafsiri yake anaposema Huduma Kwa wateja ni mbovu ana maanisha nini ila Mimi nikipata Changamoto ya umeme sijawahi ona Tanesco wameniangusha.
 
Sijajua alikuwa anamaanisha nini na Wala sio mara ya kwanza Kuna kipindi alovunja hiyo Idada ila Bado analia Lia.

Labda tuambiane tafsiri yake anaposema Huduma Kwa wateja ni mbovu ana maanisha nini ila Mimi nikipata Changamoto ya umeme sijawahi ona Tanesco wameniangusha.
yani tanesco bado kuna shida kubwa sana yani ni jipu ambalo linahitaji mtu katili sana nje ya hapo urasimu uko pale mpaka kiyama
 
Back
Top Bottom