Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

After SADC kulemewa kwa battle field wameamua kutafuta Kenya.

1738504886257.jpeg
 
Kwaiyo watalii wanaopiga picha uchi huko Zanzibar kwaiyo napo wazuie kupiga picha 🤔

Kuna ule mchezo wa kuruka kutoka juu ya ukuta na kuingia baharuni. Vijana wa Zanzibar wanafanya wakiwa na mabango au picha... Kuna kizaa zaa kilitokea pale na hadi wakasitisha kwa muda. So wako strict sana.

Kwenye Tanzanite bridge kuna mdau kaelezea vizuri. Kwamba katazo linawahusu wale wanao funga njia na kuchukua video na kusababisha foleni. Kwamba kama ni kuomba kibali wanaweza kupangiwa muda ambao hauna foleni sana.
 
Hiv nchi hii ni kwamba tunaongozwa na washamba? Au shida ni nini haswa?

Yaani tunafight city Centre yote ya Dar iwe touristic bado kuna watu washamba kwenye serikali wanaweka matangazo kama haya?

Daraja la Tanzanite ni moja ya vivutio vikubwa vinavyovutia watu wengi sana Dar, wakongo, waganda, wakenya etc wakiwemo wayoutubers/tiktokers, Daraja hili ni moja ya vivutio vikubwa kwao. Ni sababu ipi haswa ya kuzuia watu kupiga picha au kufanya photoshoots?
Utaratibu huu uko pia stendi ya mwenge ni 10k kupiga picha pale, National museum hawaruhusu kuchukua video had $100 ili upate kibali nk nk.
Mambo kama haya yanaharibu utalii badala ya kukuza utalii. Ni aibu kuwa na maamuzi kama hayaView attachment 3221804
tuendelee kusifia kaka 😂😂😂
 
Back
Top Bottom