Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,878
Vituko ni hizi hapa🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ni vituko wewe mbwa
Vituko ni hizi hapa🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ni vituko wewe mbwa
Nielewavyo Mimi juu ya hili katazo la kupiga picha na video ni kwa wale wanaokuja kufanya video shooting kama harusi,music nk na picha za aina hizo ambazo zinapelekea kusababisha jam barabarani.Hiv nchi hii ni kwamba tunaongozwa na washamba? Au shida ni nini haswa?
Yaani tunafight city Centre yote ya Dar iwe touristic bado kuna watu washamba kwenye serikali wanaweka matangazo kama haya?
Daraja la Tanzanite ni moja ya vivutio vikubwa vinavyovutia watu wengi sana Dar, wakongo, waganda, wakenya etc wakiwemo wayoutubers/tiktokers, Daraja hili ni moja ya vivutio vikubwa kwao. Ni sababu ipi haswa ya kuzuia watu kupiga picha au kufanya photoshoots?
Utaratibu huu uko pia stendi ya mwenge ni 10k kupiga picha pale, National museum hawaruhusu kuchukua video had $100 ili upate kibali nk nk.
Mambo kama haya yanaharibu utalii badala ya kukuza utalii. Ni aibu kuwa na maamuzi kama hayaView attachment 3221804
Weka na kariobang tuone vibwekaVituko ni hizi hapaView attachment 3221882
Kariobangi is a million times better than your sprawling uswazi hovelsWeka na kariobang tuone vibweka
We jamaa simu yako haijawahi kuwa na chaji, kwnn? We utakuwa mnusa gundi tu wallahi tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kariobangi is a million times better than your sprawling uswazi hovels View attachment 3221969View attachment 3221970View attachment 3221971View attachment 3221973View attachment 3221974
VsView attachment 3221975View attachment 3221976View attachment 3221977View attachment 3221978
That's from the internet kijana wa Tandale. Unaona Makwapa ilivyozingirwa na uswazi aka dream houses?We jamaa simu yako haijawahi kuwa na chaji, kwnn? We utakuwa mnusa gundi tu wallahi tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini unaficha full suti za mapati?Kariobangi is a million times better than your sprawling uswazi hovels View attachment 3221969View attachment 3221970View attachment 3221971View attachment 3221973View attachment 3221974
VsView attachment 3221975View attachment 3221976View attachment 3221977View attachment 3221978
Sikujua Kasarani yote ni sehemu ya VIP. Ebu tuonyeshe sehemu watu wanakalia zenye tuone.hii unayotuonesha ni sehemu ya VIP ndio kuna viti nakuuliza huko kwengine watu watakalia zege, naomba unijibu bila hasira plz 😂😂😂
Eti eeeehhhhhhThat's from the internet kijana wa Tandale. Unaona Makwapa ilivyozingirwa na uswazi aka dream houses?
That place a lone is better than 80% of Dar.🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ni vituko wewe mbwa
Yule mke wako ulipachika mimba akiwa class 4 unapanga kumrudisha shule lini? Huezikuwa unaongelea mambo ya University yet both of you hamjaikanyaga huko.University of Dodoma alone has more decent buildings than the entire juakali Kisumu