ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
unarudia same pic na hio ni sehemu moja ndio unapost nayo ni VIP nimekuuliza sehemi zingine hamueki viti??😂😂😂Kondoo Sasa ni wewe myemen. Do these areas look like VIP areas?
View attachment 3221583View attachment 3221585View attachment 3221586View attachment 3221587View attachment 3221590View attachment 3221591View attachment 3221593View attachment 3221594View attachment 3221596View attachment 3221597
You mean same last year your poor Low-ranked amateur National team were playing home games in Malawi and Uganda.Nyayo stadium was approved last year. Dunce.
University of Dodoma alone has more decent buildings than the entire juakali Kisumu
Tuliza kende zako bawabu. Kasarani is still undergoing renovations so issue ya seat numbers isikutie wasiwasi. Si ni wewe ulikuwa ukisema we'll never install seats at Kasarani? Wimbo Sasa imebadilika tena? Msenge wewe!😂😂😂Naona folded seats wasenge nyinyi, mlikuwa mnakashifu viti vya mkapa kwamba sio folded now mmewekewa viti ambavyo kimsingi havina hata namba, yn tunaita fungulia mbwa, unaweza kulipia na ukajipata umesimama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bongolala, Nyayo got CAF approval last year December. Unaumwa ukiwa wapi?You mean same last year your poor Low-ranked amateur National team were playing home games in Malawi and Uganda.
Kondele estate in Kisumu is looking better than Mbeya 'city' cbdUniversity of Dodoma alone has more decent buildings than the entire juakali Kisumu
GOK itoe wapi pesa wakati mshafika limit ya kukopa maana wanapolitician wamekopa wamesepa na vibunda kama EurobondWametoa from GOK, Jeshi lenu kinarambwa kule DRC na unataka kuongelea Jeshi imara that has defeated the 4th strongest terrorist group in the world.
Yemen boy let me leave you in peace. Enjoy your cosmetic joy. I can't force to see when you are blinded by hate. There's a 99% chance that Kasarani will host opening and/or closing ceremonies for CHAN later this yearunarudia same pic na hio ni sehemu moja ndio unapost nayo ni VIP nimekuuliza sehemi zingine hamueki viti??😂😂😂
jibu swali nililokuuliza kwanza maana hzo picha zote umepost ni sehemu moja au unabisha ??
ajabu kuna watu wamelike kabisa alaf kuna kondoo mmoja ame comment kabisa 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Hivi ni vituko wewe mbwa
Hiv nchi hii ni kwamba tunaongozwa na washamba? Au shida ni nini haswa?
Yaani tunafight city Centre yote ya Dar iwe touristic bado kuna watu washamba kwenye serikali wanaweka matangazo kama haya?
Daraja la Tanzanite ni moja ya vivutio vikubwa vinavyovutia watu wengi sana Dar, wakongo, waganda, wakenya etc wakiwemo wayoutubers/tiktokers, Daraja hili ni moja ya vivutio vikubwa kwao. Ni sababu ipi haswa ya kuzuia watu kupiga picha au kufanya photoshoots?
Utaratibu huu uko pia stendi ya mwenge ni 10k kupiga picha pale, National museum hawaruhusu kuchukua video had $100 ili upate kibali nk nk.
Mambo kama haya yanaharibu utalii badala ya kukuza utalii. Ni aibu kuwa na maamuzi kama hayaView attachment 3221804
Hizi ni hujuma kwenye maswala ya kiutali wa fukwe Kwa TanganyikaHiv nchi hii ni kwamba tunaongozwa na washamba? Au shida ni nini haswa?
Yaani tunafight city Centre yote ya Dar iwe touristic bado kuna watu washamba kwenye serikali wanaweka matangazo kama haya?
Daraja la Tanzanite ni moja ya vivutio vikubwa vinavyovutia watu wengi sana Dar, wakongo, waganda, wakenya etc wakiwemo wayoutubers/tiktokers, Daraja hili ni moja ya vivutio vikubwa kwao. Ni sababu ipi haswa ya kuzuia watu kupiga picha au kufanya photoshoots?
Utaratibu huu uko pia stendi ya mwenge ni 10k kupiga picha pale, National museum hawaruhusu kuchukua video had $100 ili upate kibali nk nk.
Mambo kama haya yanaharibu utalii badala ya kukuza utalii. Ni aibu kuwa na maamuzi kama hayaView attachment 3221804
Sasa mpumbavu na kichaa mmoja ndo anazuia watu wote wasipige picha?. Si akamatwe yeye. Kwan kila mtu anapiga picha uchi?Kuna mpuuzi alipiga picha za nusu utupu hapo nadhani ndio ikasababisha kuwekwa katazo hilo.
Kusiwe na urasimu tu kupata hicho kibali.
Mambo mengine ni aibu kufanywa na wasomi. Wanadeal na mambo madogo yasio na maanaHizi ni hujuma kwenye maswala ya kiutali wa fukwe Kwa Tanganyika
Tatizo Kuna mabwiga wengi wamekalia ofisi wanafikiri utalii mpaka uende porini wakati Kuna utalii wa fukweMambo mengine ni aibu kufanywa na wasomi. Wanadeal na mambo madogo yasio na maana
Halafu wategemee wakupata watalii million 5 kwa makatazo kama haya? Au watalii mpaka watembelee mbuga za wanyama na Zanzibar?
Niliwahi sema hapa, hii Dar tu wakiitengeneza vzr City Centre ikawa walkable, wakatengeneza restaurants zenye vyakula vya kiafrica kwenye hayo majengo chakavu ya posta. Ikulu ya Dar ikawa archive au museum, botanical gardens zikatenezea vzr, wakaondoa manyaya ya umeme, nk nk...Dar pekee inaweza pokea watalii hata 1million kwa mwaka. Miji kama Barcelona inapokea watalii million 30+ na hawana simba kule...
Sasa akili kama hiz vinchi kama Rwanda vitatupita mbali kwenye tourism.
Tunaweza kuifanya Dar city center kuwa hiv, viongozi wa jiji hili wakiacha ushamba na ujima. Hii ni city Centre ya Durban SouthView attachment 3221835