Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona SADC wamekubali kukunja mkia na kualika East Africa Community to help them solve the DRC crisis. Shida ni tu Tanzania, Tanzania had already failed and should not be seen as an East Africa when the EAC come on board to assist in DRC.
We mbwa mimba yako na JWTZ lini unazaa?

EAC ya kazi gani? Wakati kwenye mgongoro nchi 3 zinahusika?

Kuna Uganda, Nyie kenge, Rwanda.

Uliona Twitter ya Mtoto wa Mseveni?

Nyie Kenge wanafiki si mlitimuliwa? Mtasaidia nini ikiwa Rwanda, Uganda ndio wachochezi wakubwa. Ongezea na linchi failed kama Kunya jeshi limeshindwa hata dili na vibaka wa Baringo.

Punguza kutema tema mate ovyo kwani kabla JWTZ hawajakupa mimba ulikua Mugumba?
 
We mbwa mimba yako na JWTZ lini unazaa?

EAC ya kazi gani? Wakati kwenye mgongoro nchi 3 zinahusika?

Kuna Uganda, Nyie kenge, Rwanda.

Uliona Twitter ya Mtoto wa Mseveni?

Nyie Kenge wanafiki si mlitimuliwa? Mtasaidia nini ikiwa Rwanda, Uganda ndio wachochezi wakubwa. Ongezea na linchi failed kama Kunya jeshi limeshindwa hata dili na vibaka wa Baringo.

Punguza kutema tema mate ovyo kwani kabla JWTZ hawajakupa mimba ulikua Mugumba?
Hizi hasira zote unaniletea unafaa kupelekea M23 that thoroughly canned your weak army.
 
Unaumia ukiwa wapi? Kasarani yote iko na viti, najua wewe umezoea zile arrangements za kishamba pale makwapa where seats are of different colors Kama za nursery school.

Enjoy Kasarani with uniform seats.


View: https://youtu.be/JRcANVFDY1c?si=TuIj9PTfHGhF7i_Y

hii unayotuonesha ni sehemu ya VIP ndio kuna viti nakuuliza huko kwengine watu watakalia zege, naomba unijibu bila hasira plz 😂😂😂
 
Back
Top Bottom