Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Humu Nyerere alifanunua pia 👇🏾Hayo sio majabila ndugu. Nyerere alilifafanua vyema sana hili kwenye mkutano ICC Arusha.
View: https://youtu.be/fu83XspMZA4?si=KnM1toW3nz6rsBbx.
Humu Nyerere alifanunua pia 👇🏾Hayo sio majabila ndugu. Nyerere alilifafanua vyema sana hili kwenye mkutano ICC Arusha.
Nyerere alieza hadi ni nini kinafaa kifanyike ili kuondoa huu mgogoro. Nimechukua hizi summary za mazungumzo yake. 👇🏾Hayo sio majabila ndugu. Nyerere alilifafanua vyema sana hili kwenye mkutano ICC Arusha.
Hakuna kabila pasipokua na lugha kaka, lugha ya watusi au wahutu ni ipi then.?Nini maana ya Hutu na nini Maana ya neno Tutsi?
Sisi tuliotoka kanda ya ziwa watusi wanaitwa Badushi. Hilo ni kabila mzee. Usidanganywe na akina zitto.
Hii video umeitazama.? 👇🏾Maelezo yote hayo, hakuna sehemu Nyerere alisema hakuna Kabila la Tutsi* Ameongelea Banyamulenge
Wahutu ni jamii ya waha. Akina Zitto kabwe. Watusi ni Jamii wanyambo. Soma kuhusu Hima empire
Huyu ni Zito Ziberi Kabwe mwenyewe anatoa nondo. 👇🏾Maelezo yote hayo, hakuna sehemu Nyerere alisema hakuna Kabila la Tutsi* Ameongelea Banyamulenge
Wahutu ni jamii ya waha. Akina Zitto kabwe. Watusi ni Jamii wanyambo. Soma kuhusu Hima empire
Pitia hii 👇🏾Wahutu wanaongea kihutu mzee. Watusi wanaongea kitusi. Mimi naishi huko kaka yangu.
Kihutu kinakaribiana na Kiha, Kitusi kinakaribiana na Kinyambo. Unaujua Uhusiano wa Kinyamwezi na Kisukuma?
Sasa bishana na Mwalimu huyu. Huyu anaijua Tanzania na Africa hata kabla wewe haujazaliwa. Tazama hii video kutoka 10:30 hadi 15:00 Mwalimu kaelezea kuwa Hutu and Tutsi sio makabila (kwasababu hayana lugha zao). 👇🏾NImekueleza usifuate propaganda za zito hizo. Tangu awali nimemtaja zito. Huoni anajiitwa mwami 🤣 🤣 🤣 🤣
Mtu anakuambie eti kuna kabila la banyarwanda 🤣🤣🤣🤣 ni kama mtu anakwambia kabila la banyatanzania.
👇 👇 👇 👇 Hapa alikuwa anamaanisha nini?
kabila laitwa Banyarwanda lina wahutu watusi na watwa
Kumbe wewe umepanga kubishana, okay go on.Mzee hiyo ya Nyerere nilisha isikiliza sana. Na nimeisikiliza leo. Hakuna sehemu Nyerere aliongelea kuwa hakuna kabila la Watusi, kanda ya ziwa wanaitwa Badushi
Niambie wale wanaoitwa badushi kanda ya ziwa ni watu gani?
View: https://youtu.be/skCcsMGZrjg?si=CS7BQXIcJa-bTRMZ sijajua unaongelea entrance,uwanja au huo mchezo,kama mchezo TZ wenyewe tunapenda soka,all in all kunyan enjoy ben mkapa stadium,mna miaka 100 kutufikia kwenye suala la soka
Running track chafu na Benjamin Mkapa stadium, wapi na wapi.? 🤣🤣🤣Mauwanja yenye running track chafu huwa yananitia kinyaa 🤮🤮
Ila Chedema inakuaga na viongozi vilaza sana 🤣🤣🤣. Cheki hili chizi linaloitwa mdude, linavyoongelea mambo ambayo Halima idea nayo hata robo. 👇🏾.
View: https://x.com/mdudenyagali/status/1885317234307797049. Yani chadema wanachagua baadhi ya wapumbavu kwasababu ya uropokaji wao tu, hata ni vilaza wanawapa nafasi. 🤣🤣 this is very sad.
Mwalimu nae ni muongo.?Kwahiyo Zitto ndio mkweli unajua kwann anajiita MwamiRuyagwa?
huwezi kuwa raia wa DRC halafu una-play allegiance kwa Rais wa Rwanda! Kuna tatizo hapo! Naelewa Tshisekedi's stand!Mwalimu nae ni muongo.?
Sasa mbona hutapiki?😁Mauwanja yenye running track chafu huwa yananitia kinyaa 🤮🤮