Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa kikwete alikua anawaeleza raia wa mkoa wa Kagera walale kwa amani na kwamba no force can threaten us in this region.
View: https://youtu.be/aDci72DG9D4?si=b4mn-L0ArSvQ4t2y. Hii ni baada ya choko choko za kale kajamaa ka Rwanda kuleta ngendembwe. Raisi kikwete alieleza wazi na kumpigia mfano Amin Dada wa Uganda ya kwamba hatukuamua tu kumfurusha kwenye mipaka yetu bali pia tuliamua kumnyang’anya madaraka. Hiki Ndio kitakachomkuta Kagema akijichangaya nasi. Kutokea hapo kijamaa kikaufyata mkia wake.

Wewe choko Njoo mwaiofhawaii jifunze historia ya bongo malaya hii 🤣🤣
 
Bora niwe na uswazi kuliko kuwa na ma slums everywhere cz uswazi is all about poor planning, and it's simple to eliminate uswazi but not slums, that's because slum simply means poverty.
How many have you eliminated watchman wakati jiji lenu nzima linafanana hivi
images - 2025-01-24T122612.220.jpeg
images - 2025-01-24T122543.099.jpeg
images - 2025-01-24T122445.154.jpeg
images (73).jpeg
 
Back
Top Bottom