chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,685
- 45,921
Na huo msiba Kenya unaweza kuta wamepika basi ni wa tajiri mkubwa sana au mwanasiasa sababu misiba yao huwa hakuna kula kabisa wakati Tanzania chakula ni kuanzia msiba umeanza mpaka siku mnazika hata iwe wiki nzima mtakula mchana na usikuNilazima wajichanganye kwenye hayo makempu ili at least wapate chakula. Yaani Mikenya inakwenda kwenye misiba kwenda kula na kulalama eti wamewekewa chakula or nyama kidogo!