ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Watch this BBC documentary on how your beggars have invaded our cities and townsKundudweller katika ubora wake.
Watch this BBC documentary on how your beggars have invaded our cities and towns
View: https://youtu.be/sz8ZyCmV0N8?si=iRGY5099hLW92iI_
trump anajua kukitumia kipumulio chenu
ππππππππππ
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1881959991180988910?s=46
Waulize tu, wabunge wao si walianzisha operation ya kufukuza beggars? Iliishia wapi? Je, zaidi ya 30% ya wakenya waliojoandikisha kule kakuma refugees camp ni watanzania? Hawa watu ni mazombie kweli kweli.Even Trump says the BBC is a propaganda media. Do you still listen to the BBC? π€π€π€
I thought kuwa mkimbizi marekani from a Shithole Kunyaland ni achievement kumbe hata kuwa mkimbizi kakuma ni a milestone ππ€£π sasa civilians wa Kunyaland wana hali gani? ππ€£πIla Kenya π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Yani kuna watu wameona maisha magumu ikabidi wajichanganye kwenye refugee camps, sasa wanabisha nn kwamba wale maombaomba wa Nairobi na miji mingine kule Kenya ni wakenya wenzao π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Unaambiwa walifanya utafiti kuhusu maombaomba wakagundua woteee ni wakenya na wengine ndiyo hao wamegundulika kwenye refugee camps, the next refugee mwaiofhawaii π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hiyo post ilitolewa that year na aliyetoa hakutarajia kama Magu asingekuwepo hata hivyo aliandika mambo likely ya mwaka huu wa 2025.Magufuli?
Maisha huko ni magumu balaa yani hadi raia wa kawaida wanapenya kwenye kambi za wakimbizi ili kupata maisha safi (kimsingi ni maisha chafu ya kambini kwa wakimbizi) πππ life in Kenya is very hard.I thought kuwa mkimbizi marekani from a Shithole Kunyaland ni achievement kumbe hata kuwa mkimbizi kakuma ni a milestone ππ€£π sasa civilians wa Kunyaland wana hali gani? ππ€£π
View attachment 3210075
Sasa 2025 na Magu wapi na wapi au anamaanisha kwamba ni upande wa Magu?Hiyo post ilitolewa that year na aliyetoa hakutarajia kama Magu asingekuwepo hata hivyo aliandika mambo likely ya mwaka huu wa 2025.
Mbowe hotuba zake zote ni kudai kwamba Walioshinda waponye vidonda likely migogoro ya ndani.
Lakini pia ni uwezekank mkubwa Chadema ikapata Nguvu Kwa uongozi Mpya
Na pia uwezekano wa Wapinzani kuleta Changamoto zaidi mwaka huu wa 2025 Kwa sababu ya Lisu (hapo anaposema hautabiriki Kwa CCM).
Hujaelewa tweet Wala maelezo yangu ,Russia kusoma.Sasa 2025 na Magu wapi na wapi au anamaanisha kwamba ni upande wa Magu?
Bro, wakenya wana maisha magumu mnoooo hata hapa tunasema tu lkn bado hatujaweza kuyaelezea.Maisha huko ni magumu balaa yani hadi raia wa kawaida wanapenya kwenye kambi za wakimbizi ili kupata maisha safi (kimsingi ni maisha chafu ya kambini kwa wakimbizi) πππ life in Kenya is very hard.
Ok nishaelewa.Hujaelewa tweet Wala maelezo yangu ,Russia kusoma.
Hiyo tweet ilikuwa ya 2020
Yea, thatβs what I thought. Nothing substantial, classic tz moveLOL! Like I'm going to waste my time explaining shit to you. Open a history book its all there...
or go ask your Daddy if you cannot read ;-)