Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

One thing I like about Kasarani renovation is that we have left the African mentality where the seats are of different colors like a Kindergarten school. If you look at Makwapa, seats ni kama za kindergarten.
Monochromatic, very neat. It doesn’t look like a unicorn puked all over the stadium. The choice of color too is impressive
 
😂😂😂 pole sana. Ni nyinyi ndio mtaumia sana punda nyie, watanzania wengi huko kwenu ni wafanya biashara ima ndogo ndogo au kubwa kubwa so they can survive anywhere, Kunyans huku bongo ni wafanya kazi za kuajiriwa wakirudi huko kwenu wanakua job bless. 😂😂😂.
Over 99% ni walimu wa chekechekea.
 
Wale omba wanafanya biashara iko kwenye category gani? Kubwa au ndogo?
Kwanza kabisa tukubaliane, Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya ombaomba Africa, pili, wale ombaomba wote mlisema wengi wao ni watanzania, na hoja ilipelekwa bungeni kwenu, lkn baada ya uchunguzi wabunge wenu wakakaa kmy, na baada ya kuwauliza wakawaambia ukweli kwamba 100% ya ombaomba ni wakenya, miongoni mwao mkapata 90% ni wajaluo na asilimia zingine wakagawana makabila mengine, na ndiyo mana haishangazi leo hii kuona wakenya over 30% wamejiandikisha kuwa ni refugee kwenye camps za kakuma, nyie ni maskini wakutupa.
 
Btw tukiamua tudeport illegal immigrants na wao pia wadeport ni wao wataumia.
Tutaumia kwa lipi? Sisi tunajitosheleza, tuna food, tuna ardhi ya kutosha, hatuna mzigo wa madeni kama nyinyi, tuna fursa nyingi, kazi zinatangazwa kila siku, nyie hamuwezi hata kulipa watu mishahara ya mwezi mmoja tuumie kwa lipi?
 
Kwanza kabisa tukubaliane, Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya ombaomba Africa, pili, wale ombaomba wote mlisema wengi wao ni watanzania, na hoja ilipelekwa bungeni kwenu, lkn baada ya uchunguzi wabunge wenu wakakaa kmy, na baada ya kuwauliza wakawaambia ukweli kwamba 100% ya ombaomba ni wakenya, miongoni mwao mkapata 90% ni wajaluo na asilimia zingine wakagawana makabila mengine, na ndiyo mana haishangazi leo hii kuona wakenya over 30% wamejiandikisha kuwa ni refugee kwenye camps za kakuma, nyie ni maskini wakutupa.
Your first statement summed up everything. Eti Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya ombaomba Africa? 😂😂😂 Your desperation level is outa this world bongolala. Can you prove these claims? Continue consoling yourself and living in fantasy world
 
Your first statement summed up everything. Eti Kenya inaongoza kwa idadi kubwa ya ombaomba Africa? 😂😂😂 Your desperation level is outa this world bongolala. Can you prove these claims? Continue consoling yourself and living in fantasy world
Ni wewe peke yako ndiyo hujui au inawezekana unajua lkn unajifanya chizi, new report zinasema more than 30% ya Wakenya wamejirejista kwenye kambi ya kakuma kama refugees, hiyo ni report kutoka mamlaka wewe ni nani unayepinga? Sasa kama wakenya wengi hivyo wana register kama wakimbizi, vp kuhusu maombaomba waliotapakaa Kenya nzima 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ghetto unarefer stadium ama unasema nini? Why don’t you get out of your country’s lingo when addressing an international audience, is it that hard?
You can watch the video as you practice

View: https://youtu.be/NtKbCXuUMrQ?si=G0DZNvT9EkI__My7

Sasa mbona video ni vumbi kushoto kulia, au wewe kwa level zako unaona mmepata uwanja? Hivi unajua kwnn mpaka waleo hamna CAF approved stadium? Ni kwasababu ya mambo jua kali kama haya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom