mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 6,149
- 6,571
No words needed … debunked!This is very far from the stadia we Lia tu mzee 😂😂
No words needed … debunked!This is very far from the stadia we Lia tu mzee 😂😂
It’s like you are suffering from battered woman syndrome..🤣🤣🤣…. You are holding a sheep 🐑 and asking me where is the sheep?… please take your meds …😃😃Show me mabanda hapa 👇👇🤣🤣🤣
View attachment 3196715
From now henceforth, this Stadium will be no longer called Mkapa … welcome to Mswazi … in honor of its surroundings…😃😃😃Waambie wakuoneshe yale mabanda wanayooneshaga yako wapi hapa 👇👇🤣🤣🤣View attachment 3196615
Ile picha ilipigwa kutokea hapo.? 😂😂No words needed … debunked!
View attachment 3196805
Mjifunze landscaping, hio mbweni ni estate bado inajengwa na tayari roadside imejaa vichaka. Mjifunze landscaping tafadhali.
View: https://www.youtube.com/watch?v=RPlsDncsn5Q&t=47s
Hivyo vichaka viko wapi pembeni ya barabara.? 😂😂
Hivi ni vichaka.? au ndio hujui maana ya vichaka.? Kiswahili ni kigumu kumbe.? 😂😂Hizi ni mboga ama? 🤣 🤣 Tunajua umebaki kupost AVIC Town na moja ingine kama bonus alafu neighbourhood za maana in Dar is a slum ziishe.
View attachment 3196813
Hio ni kichaka, huoni vile ni kubwa hata mtu anaweza jificha hapo.Hivi ni vichaka.? au ndio hujui maana ya vichaka.? Kiswahili ni kigumu kumbe.? 😂😂
Hivyohivyo mauchafu tuu kwa kwenda mbele. Unataka tuisafishe Westlands happy now?Wastelands you say. 🤣 🤣 🤣
Pumbavu nyie mimi nimeacha mbegu huko kwenu nisipajue kivipi?Kutajataja majina sio kufika bradhee. Hata majina yenyewe huyajui vizuri, eti Nyaruhuru, eti Wastelands. 😂😂Kuna wenye husema humu wamefika Kenya na huwa sipingi maanake najua jinsi watu waliotembea wanavyoongea. Shida yenu Kila mtu anataka tuamini ametembea Kenya wakati hata nchini mwenu hamjatembea. Mwengine hapa alishinda kusema Kenya anaijua kama tu wewe alafu anadai eti Moshi ni mji wa mpakani kisha anaweka picha ya Illasit eti hapo ndio Moshi border. Yani Tanzania yake hajaitembea alafu Kenya ndio aitembee? Tafuta pesa utembee uache kuota.
Wewe kocho kwani hapo magari yameanza kupaki leo.? 😂😂 tushahost mashindano makubwa Africa hadi raisi wa FIFA alikuepo na uwanja ukapiga full house kama kawaida 60k spectators, uliwahi kuskia parking haitoshi.? 😂😂 una force mambo mbona we chizi.? 👇🏾
View: https://youtu.be/uvWz5we1J4k?si=1yT2OMRuKweAlrCd. Umia kidogo hebu.
Mbona unajipiga risasi mguuni, huoni wenzio wamekukaushia? Ujue unawaumiza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣No words needed … debunked!
View attachment 3196805
View: https://youtu.be/QSYd9VEkAXM?si=poMH6apaJ-7jtxhP
View: https://youtu.be/5nTFg8CMiS8?si=PbUIYISLL3mHUSvz
Aisee nisikie tena mtu anaongelea Mombasa hapa tena dah! Wakenya kama hili ndo jiji lenu la pili aisee hapana😩😩, stesheni imeshaanza kuchoka viti vya kusubiria treni, viti vya ndani ya treni mmh!
Viwanja vya watu unaita vichaka!humo zinakuja kupandwa mansion za maanaHizi ni mboga ama? 🤣 🤣 Tunajua umebaki kupost AVIC Town na moja ingine kama bonus alafu neighbourhood za maana in Dar is a slum ziishe.
View attachment 3196813
Nishasemqga hapa kuwa hii kutoboa kwa masaa matador haiwekani😀😀😀😀 kumbe ndio maana hawapost hicho kituko! Train speed 97kph kuna truck imepita iko faster kuliko train. Muda wote nasubiri train ichanganye nione mwendo mpaka inafika nasubiri tu
Kaka ni aibu kila siku wanazidi kuumbuka.Wamepata hasira na kuhuzunika sana baada ya hii video kuwekwa hadharani hapa, sijui kale kabehewa kakupigia picha kanakuwa wapi muda huu maana ni kamoja tu. Janja janja tu. kwa hiyo waheshimiwa wanasubiri kama kako Mombasa basi mpk kaje Nairobi ndo wasafiri Wakenya acheni janja janja, sirikali inawatapeli mchana kweupe 😀 Lile ni behewa la kupigia picha za propaganda na wajinga wanaamini.😀😀😀😀 kumbe ndio maana hawapost hicho kituko! Train speed 97kph kuna truck imepita iko faster kuliko train. Muda wote nasubiri train ichanganye nione mwendo mpaka inafika nasubiri tu