President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,069
- 93,480
Umeona hakuna rusted mabati umezoea ukachanganyikiwa. 🤣 🤣Utoto. You are embarrassing yourself
Zipo AI geneleted 😂😂Uzuri videos and pictures of the stalled trains are there for everybody to see. Ama hizo pia ni propaganda?
Alafu mabasi ni yale yetu kutoka AVA, aloo mungu sio athumani 😂😂Wanaita treni yetu mitungi yet sijawai ona mabasi yakija kurescue watu huko.😂
Unapenda kujipa virtual happiness. Nchi yako imeshindwa suala dogo tu la ugali, leo hii unaongelea buses 😀 😀Alafu mabasi ni yale yetu kutoka AVA, aloo mungu sio athumani 😂😂
geneleted ndiyo nnZipo AI geneleted 😂😂
View: https://youtu.be/QSYd9VEkAXM?si=poMH6apaJ-7jtxhP
View: https://youtu.be/5nTFg8CMiS8?si=PbUIYISLL3mHUSvz
Aisee nisikie tena mtu anaongelea Mombasa hapa tena dah! Wakenya kama hili ndo jiji lenu la pili aisee hapana😩😩, stesheni imeshaanza kuchoka viti vya kusubiria treni, viti vya ndani ya treni mmh!
Aisee jamaa wana hali mbaya sana yaani nimejaribu kutafuta mji wa Tanzania wa namna hii nimeshindwaNadhani sasa hapa mnaweza kuona uongo wa kujifariji hawa jamaa zetu.
1. Mombasa imejaa nyumba za udongo, yn 90% zinaonekana nyumba za udongo.
2. Jamaa co civilized kabisa, unaweza kuona stesheni ilivyochoka, imechoka kweli kweli, no wonder huwa wanatumia picha za uzinduzi kupost kwenye mitandao ya kijamii, huwezi kuona mkenya humu anapost video zaidi ya picha za uzinduzi, na hapa napata somo kwnn wazungu wanafurika Tz na kila wakija baada ya kutembelea nchi zingine za Africa huwa wanapigwa butwaa kutokana na infrastructures za kisasa na pia ubora upo vilevile kama ilivyozinduliwa.
3. Treni ndani ni kelele mnoo, tofauti na treni za Tanzania (civilization), na pia cruising speed ya train yao ni ile ile 60kmph (wana safari ndefu kufika electric train za Tanzania).View attachment 3196395
I bet hamjui hata gharama ya Talanta Stadium kwasababu hamjengi kwa pesa zenu kama unabisha weka hapa gharama yake.Uwanja Kitu gani na thamami ya Talanta stadium pekee ni inaweza Jenga hizo viwanja zenu mara Tatu. CCM inashindana na County governments Kenya. 😂
I once walked that city in 3 hours only from end to end in all directions.😁Nairobi is very Small. If you speak from one end, they hear you from the other end 🤣 🤣 🤣 🤣
I can bet with my life hata Namanga hujawai fika.I once walked that city in 3 hours only from end to end in all directions.😁
Kaka hawa wakenya ni empty talkers tu, wao wamefeli wanalazimisha tufeli wote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee jamaa wana hali mbaya sana yaani nimejaribu kutafuta mji wa Tanzania wa namna hii nimeshindwa
Kwamba Nairobi ipo UK kwamba lazima upambane na visa auu unamaanisha nn labda? Au alichosema kwamba Nairobi ni ndogo kaongopa auuu?I can bet with my life hata Namanga hujawai fika.
Vigari hata 1000 havijafika! Ficha aibu!Ingekua port of dar is a slum sahii ungekua unaona gari za 1997.