Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Assembled in Kenya by Isuzu and LSHS

Image

Image


Image
Halafu unaweza shangaa usiyaone tena hata kwenye mitaa ya NBO😀
 
Kaka ni aibu kila siku wanazidi kuumbuka.Wamepata hasira na kuhuzunika sana baada ya hii video kuwekwa hadharani hapa, sijui kale kabehewa kakupigia picha kanakuwa wapi muda huu maana ni kamoja tu. Janja janja tu. kwa hiyo waheshimiwa wanasubiri kama kako Mombasa basi mpk kaje Nairobi ndo wasafiri Wakenya acheni janja janja, sirikali inawatapeli mchana kweupe 😀 Lile ni behewa la kupigia picha za propaganda na wajinga wanaamini.
Kenya is just developed online full stop.

Yaani hio SGR yao ni Failed project na wao wanajua. Hio coach ya sijui VIP ni train sijui moja tu lakin wanavyoitangaza utafikiri ni seti nzima ya treni kama huku EMU.

Kama SGR yao inasafirisha mizigo Efficiently kwa nini mombasa road bado ina maroli ya kutosha, accidents na mbaya zaidi wanaomba kipenzi chao US awajengee Expressway kutoka Mombasa na Nairobi...je mchina atakubali iharibu soko la SGR kabisa?

Halafu vijiji vingi katika kaunti za Makueni, kwale na sehemu nyingi Coastal kenya zina nyumba za udongo nyingine zina mapaa ya nyasi...
Mombasa kuna slums kibao Nairobi ikasome...
Kama wanabisha wareply hapa niwaumbue....m
 
Kenya is just developed online full stop.

Yaani hio SGR yao ni Failed project na wao wanajua. Hio coach ya sijui VIP ni train sijui moja tu lakin wanavyoitangaza utafikiri ni seti nzima ya treni kama huku EMU.

Kama SGR yao inasafirisha mizigo Efficiently kwa nini mombasa road bado ina maroli ya kutosha, accidents na mbaya zaidi wanaomba kipenzi chao US awajengee Expressway kutoka Mombasa na Nairobi...je mchina atakubali iharibu soko la SGR kabisa?

Halafu vijiji vingi katika kaunti za Makueni, kwale na sehemu nyingi Coastal kenya zina nyumba za udongo nyingine zina mapaa ya nyasi...
Mombasa kuna slums kibao Nairobi ikasome...
Kama wanabisha wareply hapa niwaumbue....m
Hii yote ni projection ju ya train yenu ya kifafa kushinda imekwama kila siku. 🤣 🤣 🤣 Na bado itaendelea tu kukwama.
 
Kenya is just developed online full stop.

Yaani hio SGR yao ni Failed project na wao wanajua. Hio coach ya sijui VIP ni train sijui moja tu lakin wanavyoitangaza utafikiri ni seti nzima ya treni kama huku EMU.

Kama SGR yao inasafirisha mizigo Efficiently kwa nini mombasa road bado ina maroli ya kutosha, accidents na mbaya zaidi wanaomba kipenzi chao US awajengee Expressway kutoka Mombasa na Nairobi...je mchina atakubali iharibu soko la SGR kabisa?

Halafu vijiji vingi katika kaunti za Makueni, kwale na sehemu nyingi Coastal kenya zina nyumba za udongo nyingine zina mapaa ya nyasi...
Mombasa kuna slums kibao Nairobi ikasome...
Kama wanabisha wareply hapa niwaumbue....m
Noma 😂
 
Back
Top Bottom