Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yanga and Simba got East Africans talking. They are watched and supported across East Africa and beyond.
 
It's giving ushago vibes


Image

Bora hapo kuna hata busy highway.
Nyinyi hadi leo kuna nyumba za udogo within 5km from your CBD.
Tanzania hata ushago nyumba za udongo zinaisha sasa. Nyinyi hadi Nairobi zipo kibao
1729681978896.jpg
 
So hii ndo sinza yako? Au kwa kuwa umeona lile blue tower kwa mbali😂

I told you to visit Tanzania. I will host you.
Upunguze aibu Ndogo ndogo
Doesn't matter bro, it's still Darislum and there are no roads.😂😂
 
How many doctors and computer engineers from India work in the US?… so unafikiri they got visas with equivalent of Tandale High School certificate…wacha ujinga kilaza …
So, walisomea hizo professions ili wasaidie nchi yao au wakasaidie nchi za wengine? Mbona wakenya wote ni wajinga namna hii? Hivi wewe nchi yako ingekuwa iko developed na fursa nyingi ungekimbilia nchi za watu? Kuweni na akili japo kdg basi. Kutokana na hali ngumu nchini kwenu na ukosefu wa fursa wakenya wengi wamekimbilia Tz, na wengi wao ni walimu, FYI Tz ni the biggest source of remittance kwa Kenya kwa hapa Africa, hapo utasema nani maskini?
 
So, walisomea hizo professions ili wasaidie nchi yao au wakasaidie nchi za wengine? Mbona wakenya wote ni wajinga namna hii? Hivi wewe nchi yako ingekuwa iko developed na fursa nyingi ungekimbilia nchi za watu? Kuweni na akili japo kdg basi. Kutokana na hali ngumu nchini kwenu na ukosefu wa fursa wakenya wengi wamekimbilia Tz, na wengi wao ni walimu, FYI Tz ni the biggest source of remittance kwa Kenya kwa hapa Africa, hapo utasema nani maskini?
So are you assuming everyone who migrate to the US for an opportunity is from a poor country?…..Mr Watchman … stick to your rungu speciaty….
 

Huyu kaongea ukweli mtupu, huwezi kusema nchi inaendelea kwa kujenga vijengo viwili vitatu vya kupiga picha na kuongopea watu mtandaoni wakati huna infrastructures za kutosha, that's a reason why Tz receive many tourists than any country in the region. After afcon nadhani waafrica watapata kujua kwamba tumeziacha mbali nchi nyingi sanaa.
 
Back
Top Bottom