Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Remittance ni kwa ajili ya watu maskin wa wakimbiz
So all those Indian expatriates in the US under HB2 visa in Silicon Valley , Medical organizations , Research centers and many other high paying ventures are maskini na wakimbizi ?… why do you say such dumb shit ?..seriously you are an embarrassment to your country…
 
So all those Indian expatriates in the US under HB2 visa in Silicon Valley , Medical organizations , Research centers and many other high paying ventures are maskini na wakimbizi ?… why do you say such dumb shit ?..seriously you are an embarrassment to your country…
Hao wote ni maskini waliokosa kazi India wakakimbilia kutafuta vibarua kwenye high income countries na ndo maana ukiangalia top 20 ya nchi zinazopokea remmittance ni zile maskini au zenye shida ukiachana na uchina ambayo inajulikana wao ni biashara tu.
Kwahiyo usijisifie kuwa mpokeaji remmittance Bali pambana mje muwe source of remmittance ila kujisifia ni ujinga.
Kuwa na remmittance nyingi ni Dalili kuwepo kwa wakimbizi wengi wanaoenda kutafuta kazi nje
India ina population ya over 1b na same to China maana hiyo hata resources haziwatoshi. Hivi kwenye hiyo orodha utaikuta Japan kweli ? Sababu wao wako full nondo ajila zinapatikana kwa hiyo hata tanzania majority hawataki kwenda kufanya kazi nje sababu hata hao experts walioenda waliporudi walikuta wale waliowaacha wanamiliki Mali nyingi sana kuliko walizovuna huko.
  • Remittances
    A source of revenue for developing nations that can help reduce poverty and fund investments.



    Kenyans are an embarrassment to the continent

 
Hao wote ni maskini waliokosa kazi India wakakimbilia kutafuta vibarua kwenye high income countries na ndo maana ukiangalia top 20 ya nchi zinazopokea remmittance ni zile maskini au zenye shida ukiachana na uchina ambayo inajulikana wao ni biashara tu.
Kwahiyo usijisifie kuwa mpokeaji remmittance Bali pambana mje muwe source of remmittance ila kujisifia ni ujinga.
Kuwa na remmittance nyingi ni Dalili kuwepo kwa wakimbizi wengi wanaoenda kutafuta kazi nje
India ina population ya over 1b na same to China maana hiyo hata resources haziwatoshi. Hivi kwenye hiyo orodha utaikuta Japan kweli ? Sababu wao wako full nondo ajila zinapatikana kwa hiyo hata tanzania majority hawataki kwenda kufanya kazi nje sababu hata hao experts walioenda waliporudi walikuta wale waliowaacha wanamiliki Mali nyingi sana kuliko walizovuna huko.
  • Remittances
    A source of revenue for developing nations that can help reduce poverty and fund investments.



    Kenyans are an embarrassment to the continent
How many doctors and computer engineers from India work in the US?… so unafikiri they got visas with equivalent of Tandale High School certificate…wacha ujinga kilaza …
 
How many doctors and computer engineers from India work in the US?… so unafikiri they got visas with equivalent of Tandale High School certificate…wacha ujinga kilaza …
Kwa sababu wamefuata ajira kwao hakuna ajira sababu ya wingi wao kwa hiyo ni maskin tu hata ni Dr's.
Hivi Japan na Kuwait wanapata kiasi gan cha remmittance na kwanini hawapo kwenye top ten pamoja nakuwa Kuna engineers kama wote ?
Jibu: kwa sababu ajira Zipo na hawaoni faida ya kuondoka na kwenda kuhangaika huko mataifan kama Indians.
Kuwa Dr's sio kwamba ndo umaskini umekutoka kilaza. Actually majority ya employee wengi ni maskini tu.
Kuna Tajiri yoyote unayemjua ambaye amejiriwa mpaka leo ?
 
So you think you are bussin now…Nigga Please … nothing impresses me here except your fake Jordans from SHEIN ….🤣🤣😄….
Screenshot_20250107_002448_Photos.jpg

Fake jordan sio,elewa mimi sio mshamba kama doordash
 
Watanzania kama sio omba omba basi ni wauza dawa za kulevya, kama sio kuuza dawa basi ni terrorists.

1736202330642.jpeg
 
huu uzi nilikuwa naupitaga tu sijawai kuufungua hivi kuna mjadala gani humu
 
Back
Top Bottom