Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nipe 'city' Moja hapo Bongo kando na Darislum yenye inaweza karibia nusu ya Mombasa - both in economy and size.
Atakuweka na mjadala ya kijinga na kulazimisha mambo wakati hata yeye anajua hakuna. Wabishi wa kupindukia. Hata hiyo Dar saa hii imewacha Mombasa kidogo sana
Screenshot_20241209-180201.jpg
1000003097.jpg
see
 
Atakuweka na mjadala ya kijinga na kulazimisha mambo wakati hata yeye anajua hakuna. Wabishi wa kupindukia. Hata hiyo Dar saa hii imewacha Mombasa midogo sanaView attachment 3194082View attachment 3194085see
Bongoslum is a one city country. 🤣 🤣 🤣 Mwanza their second largest city hata showroom ya Toyota hakuna, yet it's the most popular car brand in bongoslum.
 
Nyie wote mnaobishia Rural electric connectivity msubiri mabwana wenu wawaandike uzuri project ipo finaced by World Bank, EU, Tz Government, so mtazipata kwa Mabwana wenu tu.

Tukiwaambia mnakua wabishi.

Tambua TANESCO na REA ni vitu viwili tofauti, hata ukinunua umeme via TANESCO unakatwa hela ya REA,

TANESCO kwa 10k unapata uniti 28 za umeme ila REA ni 77.

Kama mna kijiji kisichounganishwa na umeme mtuletee tafadhali.

Mkumbuke gharama ya kuunga REA majumbani ni Tsh. 28,000

Ndio maana kuna member kasema yoyote aliyeshindwa kuunga umeme wa REA au kuwasaidia ndugu kuunga REA ni fala like elfu 28 tu watu washindwe na vijijini ndio hao wanawalisha nyie wehu

Zamani ilikua inakua ngumu kuunga TANESCO sababu unakuta unaambiwa ulipie nguzo etc gharama zinafika hadi 1million vijijini hawawezi, ila REA inaleta nguzo kijiji kizima kazi yako.kulipia Tsh 28,000 tu.

Ndio washindwe kufika 99%

View attachment 3194028
Unatupigia kelele hapa when only 3 people have electricity in those respective villages.
 
Back
Top Bottom