NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,044
- 19,239
You're right. 👍🏾Wewe ni mpumbavu.
You're right. 👍🏾Wewe ni mpumbavu.
mm nawashangaa hua munapata wapi muda wakubishana na huyo zwazwa😂😂Wewe ni mpumbavu.
Hii Safi ili waache kutumia ndege za ATCL.
View: https://x.com/tanzaniainsight/status/1875078443953434899?s=46
View: https://www.instagram.com/p/DAjvBspsk5g/?igsh=MXJ5N2h4OG1va2Q5OA==
Ushenzi mtupu!Ile 737 BBJ vipi?? Ile ingemake more sense, siku hizi mama anasafiti na msafara mkubwa, kwenye hii G700 hawatoshi.......au ile bado inakuja??
Angalau ingeuzwa ingeweza ku make sense, ila 22 yrs for a private plane sio mbaya sana , bado G550s zinatumika , na hapo sio ndege kubwa bado , Boeing 737-7 Business jet ingemake sense kama wanataka ku replace G550s , cause inaweza kubeba walau watu wengialaf ile iliokuwepo inafanyiwa nn kwa sasa? fokker ya rais wa kenya ina zaidi ya miaka 35 huko yetu hata 22 yrs haijafikisha aisee, bado tuna mambo mengi sana yakufanya kwa sasa hio pesa ni bora zejengwe hospitali hata 4 za kimataifa mkoa wa tanga, kigoma, bukoba huko tufanye medical tourism
Hii Safi ili waache kutumia ndege za ATCL.
View: https://x.com/tanzaniainsight/status/1875078443953434899?s=46
View: https://www.instagram.com/p/DAjvBspsk5g/?igsh=MXJ5N2h4OG1va2Q5OA==
Hiyo ni barabara ya mkandarasi wakati anajenga reli infact ni reserve ya reli. Station inaangalia barabara ya lami A104 Iringa Road kama hutaki basi usilete arguments za kitoto.Birds view ndio itaweka lami kwa hii Barabara ya vumbi ama?
![]()
Hawa watu hamna kitu kichwani zaidi ya mavi ya kibera.Service roads also known as a frontage road or access road run parallel to railways, similar to how they function alongside highways. These roads provide access to railway facilities, maintenance areas, and properties adjacent to the rail line.
Washington DC pia.Ha ha ha huyo anaetoa ufafanuzi hajawahi hata kutoka nje ya kibera! Vijamaa ni vijuaji balaa.
So if reli imengoka due to floods utafikiaje eneo la tulio kama si kwa kutumia service road? Wakati mwingine muache ubishi wa kitoto.Bro, a rail does not need a road running alongside the line for service purpose or access. Unlike roads which can be accessible from any point, railway lines are only accessible at the stations and that's the reason many railway lines are even fenced. That's also the reason you'll find linear settlement along a road but never along the rail. What you're talking about is hogwash. That's a road used by people coming to the station and it's unpaved. I have even shown you a photo with vehicles on the road.
Hiyo picha ya chini ya boda boda ni Morogoro tena hiyo road ya vumbi unatokea shamba la magereza ya Morogoro.Bradhee, hivi hizi picha ni za Morogoro?
![]()
![]()
Msameeni bure tuu huyu ni mjinga akielimishwa ataelimika ila kama bado anabisha basi ni mpumbavu there is nothing more you can do.Kwahiyo wakati wanajenga hivyo vifaa letsay kokoto na the like vilipaaa angani?
What on earth is service road ya reli bradhee?
Railways are serviced by vehicles that move on the rail, not beside the rail.
![]()
![]()
Beside, this photo was taken by a Japanese man who rode a boda boda on the road on his way to the SGR station and he clearly stated that the road is unpaved
View: https://twitter.com/JapanAmb_TZ/status/1824813226783109320
Sio Mnakuwanga ni Mnakuwa ama mnakuwanga hapo Mnakuwa ndio sahihi.Mtu ameandika upumbavu alafu unampapasa mgongo eti mimi ni mjuaji? Wapi ushawai ona service road kwa railway? Mnakuwanga wajinga hadi inauma.
Mpango wa 737 BBJ bado uko palepale na budget imeshatengwa FY 2024/2025 huu ni mpango tuu wa executive fleet renewalIle 737 BBJ vipi?? Ile ingemake more sense, siku hizi mama anasafiti na msafara mkubwa, kwenye hii G700 hawatoshi.......au ile bado inakuja??
Reli kungóka is not an everyday thing. You do not need a road running along the rail to fix that. Think.Reli iking'oka kwahiyo hiyo gari inayotembea juu ya reli ndio hutumika kufanyia service!?
Broo embu kuwa serious kidogo.
Lazima kuwe na barabara ya ukarabati ama ukandarasi ikiwa ndani ya fence ya mamlaka ya reli kwaajili ya service ya reli kwa namna yeyote.