Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unavyo potosha kwa kusema ni Dodoma ni sawa?
Niliona upotoshaji wako jana nikataka kujibu nikakumbuka huwa sina tabia ya kujibu wakumbaf ila kwa sababu umeshoboka unataka kupigwa mpini imebidi nijibu.
Hizo 10km ziko wapi hapa!
View attachment 3191205
Dodoma SGR STATION is bigger than the leaking bibi kizee wa Nairobi. Wenye D 2 wataelewa 🤣🤣🤣
 
Sikia Dodoma station ipo karibu na Lami, fanya research zako vizuri Iringa Road.

Kwa hiyo umechukua Morogoro kuipeleka kufanya upotoshaji sio?

Na hiyo morogoro inafanyiwa kazi. Ni mara ngapi mnaambiwa still mnakomaa eti ni Dodoma.
Bradhee, hivi hizi picha ni za Morogoro?
1000525074-jpg.3190703


1000525095-jpg.3190701
 
Bradhee, hivi hizi picha ni za Morogoro?
1000525074-jpg.3190703


1000525095-jpg.3190701
Acha kujikuta unaijua Tanzania fwala wewe, First pic ni Dodoma, na hiyo barabara ni barabara aliyotumia mkandarasi wakati wa ujenzi (Iko nyuma ya station), sio barabara rasmi, hilo eneo lote lina fence ya TRC.
Second Pic ni kutoka Morogoro station (kwa nyuma) na hiyo barabara iko nje kabisa ya station ya Morogoro na iko under construction maana mkandarasi hajamaliza kazi.
 
Wewe kichaa nilitaka kumaanisha Arizona, tunajenga Dodoma ili iwe Arizona yenu, msije kusema hatujawaambia. Alafu hujaacha kujifanya mjuaji we watchman? Au nipost ile picha yetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The fool is now trying to save face. Get the fvck outa here watchman!
 
Unavyo potosha kwa kusema ni Dodoma ni sawa?
Niliona upotoshaji wako jana nikataka kujibu nikakumbuka huwa sina tabia ya kujibu wakumbaf ila kwa sababu umeshoboka unataka kupigwa mpini imebidi nijibu.
Hizo 10km ziko wapi hapa!
View attachment 3191205
ukiwa unampa elimu mpe na konzi la kwenye kichogo 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom