ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hii Safi ili waache kutumia ndege za ATCL.
View: https://x.com/tanzaniainsight/status/1875078443953434899?s=46
alaf ile iliokuwepo inafanyiwa nn kwa sasa? fokker ya rais wa kenya ina zaidi ya miaka 35 huko yetu hata 22 yrs haijafikisha aisee, bado tuna mambo mengi sana yakufanya kwa sasa hio pesa ni bora zejengwe hospitali hata 4 za kimataifa mkoa wa tanga, kigoma, bukoba huko tufanye medical tourism